Habarini ndugu zangu wanaJf,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kama ifuatavyo:
Mimi ni kijana wa kiume, kwa sasa nipo Dodoma na umri wangu ni 27.
Nimefikia hatua ya kuamua kutoka huku nilipo na kwenda Dar, kwa ajili ya utafutaji wa maisha. Kwa kifupi nimejipanga vizuri, kuhakikisha...