Recent content by panyaroad

  1. P

    Msaada: Kusajili gari kutoka showroom

    Heshima kwenu wakuu, somo tajwa hapo juu lahusika. Nadhamiria kumnunulia shemeji yenu ka usafiri kadogo aina ya passo ili kumrahisishia kwenda na kurudi kazini hasa kwa kipindi hichi ambapo yupo katika hali ya ujauzito, nimepitapita katika baadhi ya showrooms hapo mjini nikaona kagari kamoja...
  2. P

    Masikini gari yangu niliyoagiza, uchakavu kodi mpya!

    huyu dada humu JF huwa naona ni mmoja wa wanaochukiwa zaidi. Tofauti yake na wengine wanaochukiwa humu (kama yule jamaa aliyefanya mazoezi gym akapungua akili badala ya kupungua mwili, mwenye umri sawa na mama anna lakini inabidi umuamkie shkamoo) Faiza anachukiwa kwasababu yupo vizuri kichwani...
  3. P

    Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

    kumbe hata huko kwenu Kigali pia mtindo huo umefika
  4. P

    Nalaani Ubalozi Wa Tanzania Marekani, na Iddy Sandaly Kwa Hii Tabia ya Kutugawa Kwa Udini

    DMV = Alexandry Nemesi na bora arudi tu nyumbani huku ardhi imejaa tele kuliko kukaa huko kusubiri nani afe ili apitishe michango mitandaoni
  5. P

    Kashfa ya usaili: Utumishi yavunja rekodi ya Uhamiaji

    Kuna nyingine TBS nafasi moja ya kazi wameita watu zaidi ya mia mbili http://www.tbs.go.tz/images/uploads/KUITWA_KWENYE_USAILI_JULY_2014_Sheet1.pdf
Back
Top Bottom