Kwa suala lako cheti cha kuzaliwa ndio kitatoa uthibitisho kua hilo jina la tatu ni la kwako,kama halikuandikwa na kwenye cheti cha kuzaliwa hapo tatizo tayari
Je,wakati unaandika barua ya maombi ya kazi ulipitisha kwa mwajiri wako? Kama haukupitisha hata interview usijisumbue kwenda maana hautaajiriwa hata ukipita.
Kama upo mbali na mitandao au kama cycle yako sio ya waombaji kazi sio rahisi kuziona au kujua,hata hawa walioitwa kwenye interview kuna watu hawatajua na interview itawapita.
Zilitangazwa na TRA mwaka huu around mwezi wa 5-6 .
Post zipo 206 acha wakapambane,ndio mana kuna written interview ,na wengine wakienda kwenye oral huwekwa database badae huajiriwa.
Wengi wamepangiwa kufanya mtihani mahali flani kutokana na addresa zao sio wote watakaosafiri.
Ukimjengea kwenye kiwanja cha familia automatically hio itakua mali ya wote kwenye urithi.
ukitaka mali isihesabike kama ya familia ,mjengee bi mkubwa nyumba kwenye kiwanja chenye jina lako alafu muache akae,otherwise ukijenga kwenye kiwanja cha familia ndugu wanaweza kudai endapo siku huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.