Tuwe wakweli kuhusu umeme afadhali kipindi cha nyuma sasa mvua zinanyesha maji yapo ya kutosha mtera alafu umeme mgao si mgao hivi hiyo Viwanda vinazalisha kwa ajili ya nani kama mjasiliamali mdogo hapati umeme je atasubiri mpaka lini apate maendeeleo au ndio asubiri serikali ipate kodi kwenye...
Mtu katoa yanayomhusu ww mapovu kweli kuna watu na viatu umefikishiwwa ujumbe kwwa namna ya story unatokwa na mapovu pole GuDume anahaki kukwambia ww ni mjamzito endelea kutumia omo
Acha kuwa na fikra finyu hao wanafunzi wakimaliZa shule wanakuja kufanya nn?
Kwenye nchi yao ambayo haijajiandaa kwa ajili tujitafakari
serikali wabandilishwe mitazamo yao wanchojua ni kukusanya kodi hawana njia nyingine ya kutengeneza ajira wanaachia sekta binafsi
Mungu ametubariki na...
Damas yupo sahihi tukuze vpaji vya mikoa vijana wanaona wanao pewa kipaumbele wakuja hata kama hawana uwezo kisa majina makubwa mtu kama ngasa sijui anafanya nn Ndanda wanakatishwa tamaa
Najaribu kutafakari kwa mapana na kugundua hasa Wafrika tunatumia nguvu nyingi na kupoteza muda kuomba Mungu
Badala ya kutafakari uweza wa Mungu na maajabu aliyomptia mwanadamu kutenda
Kwan naamini Mungu alishafanya kazi yake na alimaliza kwa binadamu na binadamu anatakiwa kumshukuru Mungu na...
Ninachomifahamu ni Asante kwasi si mchezji halali wa Lipuli wa la Mbao huko kote alikuwa anacheza kwa mkopo kwenye mchezaji wao halali ndio kwenye maamzi ya kumuuza watakako Lipuli na Mbao wanapewa tarifa tu hawana namna ya kumzuia huo ndio ukweli
GuDume katika ubora Elimu tosha kwa uzinifu ila Watanzania wachache kama sio wengi wajuaji mtu katoa kitu ili ujifunzze we kazi yako kukosoa Du hatari hivi hakuna namna ya kuongeza mtaala au kutengeneza namna ya kuwa na somo LA kujitambua kwa shule za msingi na sekondari
Najua wawezza amini si mawazo yng ila nimekaa na kutafakari azzimio LA Zanzibar ndio kila kitu palipo haribu mwelekeo sasa ndio maana waje wazee wakili wazwazi wapi walikosea na kwa hili tusiwe 50 kwa 50 tukae upande wa kijamaa ndio tujenge nchi watu wengi wameshamjua Magu anataka nn...
Najua mwenye uwezo tu wa kupambanua ndio atanielewa kwa nimegusa sehemu kidogo kidogo na wewe utumie uwezo wako wa kupambanua kama kweli in Mtanzania unayejua tulikotoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.