Buswita alifungiwa je hili la Asante kwasi mchezaji halali wa lipuli fc litapita salama?

Phd Hewa

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
572
466
Wadau wa soka wana kila sababu ya kuingia hofu juu ya utendaji wa shirikisho la soka nchini (TFF) lililo chini ya Wallace Karia na Michael Wambura.

Baadhi ya maamuzi yanayofanywa shirikisho hilo linalojinasibu kudhamiria kupeleka mbele soka la Tanzania yamekuwa na 'ukakasi'.

Kumekuwa na maamuzi yasiyo na usawa kwa vilabu vinavyoshiriki ligi kuu katika masuala mbalimbali.

Nakumbuka mwanzoni mwa msimu Deus Kaseke, Simon Msuva na Obrey Chirwa walifungiwa kutoshiriki michuano yoyote inayoandaliwa na shirikisho hilo baada ya kutuhumiwa kufanya fujo katika mchezo wa mwisho wa ligi kati ya Yanga dhidi ya Mbao FC msimu uliopita.

Lakini si wachezaji hawa pekee waliostahili kusimamishwa, Haruna Niyonzima ambaye alisajiliwa na Simba yeye hakuhusishwa na rungu la TFF licha ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliohusika kwenye sakata hilo.

Baadae TFF inakuja kuwaachia kwa kusema hawakuwa na hatia isipokuwa Simon Msuva ambaye aliomba radhi. Wachezaji hao walikuwa tayari wamekosa michezo ya mwanzo wa msimu kwa ajili tu wamesimamishwa tena bila kosa!

Huku mwenzao Haruna Niyonzima akiitumikia klabu ya Simba bila kubugudhiwa na mtu yeyote.

Huo ulikuwa ni mwanzo tu, swala la kufungiwa kiungo wa Yanga Pius Buswita tena siku moja kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii liliwashangaza wengi.

Buswita alituhumiwa kusajili timu mbili, Simba na Yanga lakini cha ajabu hakuwemo kwenye orodha ya wachezaji waliosajiliwa na Simba. Ni Yanga pekee iliyokuwa imewasilisha jina lake TFF.

Lakini baadae ikaja kubainika kuwa Buswita alirubuniwa na viongozi wa Simba na kuchukua pesa (Tsh Mil 10) (Mwenyewe alikiri) ili asaini klabu ya Simba.

Inadaiwa viongozi wa Simba walitumia njia za panya kufanya nae mazungumzo licha ya kufahamu alikuwa bado na makataba uliozidi miezi sita na klabu ya Mbao FC.

Yanga walifuata taratibu kwa kumalizana na Mbao FC kabla ya kumsainisha mkataba wa miaka miwili.

Baada ya Yanga kukata rufaa TFF ikamfungulia Buswita kwa masharti kwamba arudishe pesa alizochukua kwa klabu ya Simba.

Lakini TFF haikuiadhibu Simba iliyovunja sheria za usajili kwa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na mchezaji ambaye ana mkataba na timu nyingine.

Kwa sababu Simba imekuwa 'mtoto mpendwa' wa TFF imerudia tena mchezo huo kwa beki wa Lipuli FC Asante Kwasi.

Lipuli imethibitisha kuwa Kwasi bado ana mkataba wa miezi nane na klabu hiyo na Mwenyekiti wake Clement Sanga amethibitisha kuwa hawakuwahi kuwa na mazungumzo na uongozi wa Simba juu ya mchezaji huyo.

Wakati ukweli huo ukibainika, Kwasi amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba na upo ushahidi wa picha zinazomuonyesha akisaini mkataba huo sambamba na mchezaji mwingine kutoka Msumbiji.

Simba iliwahi kutumia ushahidi wa aina hiyo kuidai Yanga zaidi ya Mil 200 kwenye sakata la usajili wa Hassani Ramadhani 'Kessy'.

Kitendo cha Kessy kuonekana akiwa amevaa jezi ya Yanga siku tatu kabla ya mkataba wake kumalizika kuliipelekea Yanga iilipe Simba Mil 50.

Mbaya zaidi uongozi wa Lipuli FC umethibitisha kuwa Kwasi aliomba ruhusa kwenda kwao nchini Ghana kuhudhuria msiba wa Baba yake na walimtumia nauli ya kurudia ambapo alitakiwa kuripoti kambini Disemba 16.

Lakini kumbe mchezaji huyo alikuwa amefichwa jijini Dar es salaam akimalizana na viongozi wa Simba kulingana na taarifa zilizochapishwa kwenye magazeti.

Wakati sintofahamu hii ikiviibua vyombo vya Serikali ikiwemo TAKUKURU kuchunguza usajili wake, TFF inaongeza siku za kufunga dirisha la usajili kwa kisingizio kuwa mtandao wa FIFA (TMS) una hitilafu.

Wadadisi wa mambo wanafikiri TFF imetoa mwanya tu kwa 'mtoto mpendwa' kukamilisha taratibu za usajili ili akwepe adhabu.

Sakata la Kwasi ni mtihani maridhawa kwa TFF kujidhihirisha kama inafuata sheria au la ingawa kuna taarifa kuwa viongozi wa TFF wamekuwa wakifanya vikao vya siri na viongozi wa Simba ili kuhakikisha sakati hilo linamalizika salama.
 
Wadau wa soka wana kila sababu ya kuingia hofu juu ya utendaji wa shirikisho la soka nchini (TFF) lililo chini ya Wallace Karia na Michael Wambura.

Baadhi ya maamuzi yanayofanywa shirikisho hilo linalojinasibu kudhamiria kupeleka mbele soka la Tanzania yamekuwa na 'ukakasi'.

Kumekuwa na maamuzi yasiyo na usawa kwa vilabu vinavyoshiriki ligi kuu katika masuala mbalimbali.

Nakumbuka mwanzoni mwa msimu Deus Kaseke, Simon Msuva na Obrey Chirwa walifungiwa kutoshiriki michuano yoyote inayoandaliwa na shirikisho hilo baada ya kutuhumiwa kufanya fujo katika mchezo wa mwisho wa ligi kati ya Yanga dhidi ya Mbao FC msimu uliopita.

Lakini si wachezaji hawa pekee waliostahili kusimamishwa, Haruna Niyonzima ambaye alisajiliwa na Simba yeye hakuhusishwa na rungu la TFF licha ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliohusika kwenye sakata hilo.

Baadae TFF inakuja kuwaachia kwa kusema hawakuwa na hatia isipokuwa Simon Msuva ambaye aliomba radhi. Wachezaji hao walikuwa tayari wamekosa michezo ya mwanzo wa msimu kwa ajili tu wamesimamishwa tena bila kosa!

Huku mwenzao Haruna Niyonzima akiitumikia klabu ya Simba bila kubugudhiwa na mtu yeyote.

Huo ulikuwa ni mwanzo tu, swala la kufungiwa kiungo wa Yanga Pius Buswita tena siku moja kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii liliwashangaza wengi.

Buswita alituhumiwa kusajili timu mbili, Simba na Yanga lakini cha ajabu hakuwemo kwenye orodha ya wachezaji waliosajiliwa na Simba. Ni Yanga pekee iliyokuwa imewasilisha jina lake TFF.

Lakini baadae ikaja kubainika kuwa Buswita alirubuniwa na viongozi wa Simba na kuchukua pesa (Tsh Mil 10) (Mwenyewe alikiri) ili asaini klabu ya Simba.

Inadaiwa viongozi wa Simba walitumia njia za panya kufanya nae mazungumzo licha ya kufahamu alikuwa bado na makataba uliozidi miezi sita na klabu ya Mbao FC.

Yanga walifuata taratibu kwa kumalizana na Mbao FC kabla ya kumsainisha mkataba wa miaka miwili.

Baada ya Yanga kukata rufaa TFF ikamfungulia Buswita kwa masharti kwamba arudishe pesa alizochukua kwa klabu ya Simba.

Lakini TFF haikuiadhibu Simba iliyovunja sheria za usajili kwa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na mchezaji ambaye ana mkataba na timu nyingine.

Kwa sababu Simba imekuwa 'mtoto mpendwa' wa TFF imerudia tena mchezo huo kwa beki wa Lipuli FC Asante Kwasi.

Lipuli imethibitisha kuwa Kwasi bado ana mkataba wa miezi nane na klabu hiyo na Mwenyekiti wake Clement Sanga amethibitisha kuwa hawakuwahi kuwa na mazungumzo na uongozi wa Simba juu ya mchezaji huyo.

Wakati ukweli huo ukibainika, Kwasi amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba na upo ushahidi wa picha zinazomuonyesha akisaini mkataba huo sambamba na mchezaji mwingine kutoka Msumbiji.

Simba iliwahi kutumia ushahidi wa aina hiyo kuidai Yanga zaidi ya Mil 200 kwenye sakata la usajili wa Hassani Ramadhani 'Kessy'.

Kitendo cha Kessy kuonekana akiwa amevaa jezi ya Yanga siku tatu kabla ya mkataba wake kumalizika kuliipelekea Yanga iilipe Simba Mil 50.

Mbaya zaidi uongozi wa Lipuli FC umethibitisha kuwa Kwasi aliomba ruhusa kwenda kwao nchini Ghana kuhudhuria msiba wa Baba yake na walimtumia nauli ya kurudia ambapo alitakiwa kuripoti kambini Disemba 16.

Lakini kumbe mchezaji huyo alikuwa amefichwa jijini Dar es salaam akimalizana na viongozi wa Simba kulingana na taarifa zilizochapishwa kwenye magazeti.

Wakati sintofahamu hii ikiviibua vyombo vya Serikali ikiwemo TAKUKURU kuchunguza usajili wake, TFF inaongeza siku za kufunga dirisha la usajili kwa kisingizio kuwa mtandao wa FIFA (TMS) una hitilafu.

Wadadisi wa mambo wanafikiri TFF imetoa mwanya tu kwa 'mtoto mpendwa' kukamilisha taratibu za usajili ili akwepe adhabu.

Sakata la Kwasi ni mtihani maridhawa kwa TFF kujidhihirisha kama inafuata sheria au la ingawa kuna taarifa kuwa viongozi wa TFF wamekuwa wakifanya vikao vya siri na viongozi wa Simba ili kuhakikisha sakati hilo linamalizika salama.
Pole mwanayanga,hii awamu tutafanya tunavotaka kama wewe wakati wa Malinzi,nakushauri usainishe mikataba wachezaji wako ambao mikataba inaelekea ukingoni,utawakosa hatutanii,kuhusu swala la kwasi hakuna wa kufungiwa maana Lipuli si wamiliki halali wa kwasi
 
rais wa TFF ni Simba. Makamu rais TFF Richard Wambura Simba. Hapakuweko na hitilafu yo yote kwenye mitandao ilikuwa keresha tu ili Simba wamaleze zengwe hilo
 
TFF wanajaribu kumbeba Punda haliyakuwa wanajua kabisa kuwa punda habebeki.
 
Wadau wa soka wana kila sababu ya kuingia hofu juu ya utendaji wa shirikisho la soka nchini (TFF) lililo chini ya Wallace Karia na Michael Wambura.

Baadhi ya maamuzi yanayofanywa shirikisho hilo linalojinasibu kudhamiria kupeleka mbele soka la Tanzania yamekuwa na 'ukakasi'.

Kumekuwa na maamuzi yasiyo na usawa kwa vilabu vinavyoshiriki ligi kuu katika masuala mbalimbali.

Nakumbuka mwanzoni mwa msimu Deus Kaseke, Simon Msuva na Obrey Chirwa walifungiwa kutoshiriki michuano yoyote inayoandaliwa na shirikisho hilo baada ya kutuhumiwa kufanya fujo katika mchezo wa mwisho wa ligi kati ya Yanga dhidi ya Mbao FC msimu uliopita.

Lakini si wachezaji hawa pekee waliostahili kusimamishwa, Haruna Niyonzima ambaye alisajiliwa na Simba yeye hakuhusishwa na rungu la TFF licha ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliohusika kwenye sakata hilo.

Baadae TFF inakuja kuwaachia kwa kusema hawakuwa na hatia isipokuwa Simon Msuva ambaye aliomba radhi. Wachezaji hao walikuwa tayari wamekosa michezo ya mwanzo wa msimu kwa ajili tu wamesimamishwa tena bila kosa!

Huku mwenzao Haruna Niyonzima akiitumikia klabu ya Simba bila kubugudhiwa na mtu yeyote.

Huo ulikuwa ni mwanzo tu, swala la kufungiwa kiungo wa Yanga Pius Buswita tena siku moja kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii liliwashangaza wengi.

Buswita alituhumiwa kusajili timu mbili, Simba na Yanga lakini cha ajabu hakuwemo kwenye orodha ya wachezaji waliosajiliwa na Simba. Ni Yanga pekee iliyokuwa imewasilisha jina lake TFF.

Lakini baadae ikaja kubainika kuwa Buswita alirubuniwa na viongozi wa Simba na kuchukua pesa (Tsh Mil 10) (Mwenyewe alikiri) ili asaini klabu ya Simba.

Inadaiwa viongozi wa Simba walitumia njia za panya kufanya nae mazungumzo licha ya kufahamu alikuwa bado na makataba uliozidi miezi sita na klabu ya Mbao FC.

Yanga walifuata taratibu kwa kumalizana na Mbao FC kabla ya kumsainisha mkataba wa miaka miwili.

Baada ya Yanga kukata rufaa TFF ikamfungulia Buswita kwa masharti kwamba arudishe pesa alizochukua kwa klabu ya Simba.

Lakini TFF haikuiadhibu Simba iliyovunja sheria za usajili kwa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na mchezaji ambaye ana mkataba na timu nyingine.

Kwa sababu Simba imekuwa 'mtoto mpendwa' wa TFF imerudia tena mchezo huo kwa beki wa Lipuli FC Asante Kwasi.

Lipuli imethibitisha kuwa Kwasi bado ana mkataba wa miezi nane na klabu hiyo na Mwenyekiti wake Clement Sanga amethibitisha kuwa hawakuwahi kuwa na mazungumzo na uongozi wa Simba juu ya mchezaji huyo.

Wakati ukweli huo ukibainika, Kwasi amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba na upo ushahidi wa picha zinazomuonyesha akisaini mkataba huo sambamba na mchezaji mwingine kutoka Msumbiji.

Simba iliwahi kutumia ushahidi wa aina hiyo kuidai Yanga zaidi ya Mil 200 kwenye sakata la usajili wa Hassani Ramadhani 'Kessy'.

Kitendo cha Kessy kuonekana akiwa amevaa jezi ya Yanga siku tatu kabla ya mkataba wake kumalizika kuliipelekea Yanga iilipe Simba Mil 50.

Mbaya zaidi uongozi wa Lipuli FC umethibitisha kuwa Kwasi aliomba ruhusa kwenda kwao nchini Ghana kuhudhuria msiba wa Baba yake na walimtumia nauli ya kurudia ambapo alitakiwa kuripoti kambini Disemba 16.

Lakini kumbe mchezaji huyo alikuwa amefichwa jijini Dar es salaam akimalizana na viongozi wa Simba kulingana na taarifa zilizochapishwa kwenye magazeti.

Wakati sintofahamu hii ikiviibua vyombo vya Serikali ikiwemo TAKUKURU kuchunguza usajili wake, TFF inaongeza siku za kufunga dirisha la usajili kwa kisingizio kuwa mtandao wa FIFA (TMS) una hitilafu.

Wadadisi wa mambo wanafikiri TFF imetoa mwanya tu kwa 'mtoto mpendwa' kukamilisha taratibu za usajili ili akwepe adhabu.

Sakata la Kwasi ni mtihani maridhawa kwa TFF kujidhihirisha kama inafuata sheria au la ingawa kuna taarifa kuwa viongozi wa TFF wamekuwa wakifanya vikao vya siri na viongozi wa Simba ili kuhakikisha sakati hilo linamalizika salama.
Uko njema aisee. Chukua 5.
 
Ninachomifahamu ni Asante kwasi si mchezji halali wa Lipuli wa la Mbao huko kote alikuwa anacheza kwa mkopo kwenye mchezaji wao halali ndio kwenye maamzi ya kumuuza watakako Lipuli na Mbao wanapewa tarifa tu hawana namna ya kumzuia huo ndio ukweli
 
Ninachomifahamu ni Asante kwasi si mchezji halali wa Lipuli wa la Mbao huko kote alikuwa anacheza kwa mkopo kwenye mchezaji wao halali ndio kwenye maamzi ya kumuuza watakako Lipuli na Mbao wanapewa tarifa tu hawana namna ya kumzuia huo ndio ukweli
Huo ni wimbo wa Mwenyekiti wenu wa Kamati ya usajili ili kuwazuga wavivu wa kufikiri wasione udhaifu wa Simba kwenye jambo hili. Kabla ya kuuitikio huo wimbo kwa sauti ya juu, ulipaswa kijiuliza: (1) Mchezaji anapocheza kwa mkopo, huwa hakuna mkataba baina ya anayekopesha na anayekopeshwa? (2) Mkataba huo uwepo usiwepo, huwa hakuna mkataba baina ya mchezaji anayetolewa kwa mkopo na timu anayopelekwa? (3) Bila ya kujali mikataba hiyo, mchezaji huyo hapaswi kufuata kanuni na taratibu za usajili? (4) Kama anapaswa kufuata taratibu, je zinaruhusu kuhamia timu nyengine bila ya ridhaa ya timu aliyosajiliwa? (5) Kama yote hayo bado yanampa mchezaji huyo uhuru wa kuhama apendapo, apendavyo, kwa nini hatimaye Simba wametuma barua ya kumwomba Lipuli?
‘Akili za kuambiwa ...............’. - JMK
 
Wadau wa soka wana kila sababu ya kuingia hofu juu ya utendaji wa shirikisho la soka nchini (TFF) lililo chini ya Wallace Karia na Michael Wambura.

Baadhi ya maamuzi yanayofanywa shirikisho hilo linalojinasibu kudhamiria kupeleka mbele soka la Tanzania yamekuwa na 'ukakasi'.

Kumekuwa na maamuzi yasiyo na usawa kwa vilabu vinavyoshiriki ligi kuu katika masuala mbalimbali.

Nakumbuka mwanzoni mwa msimu Deus Kaseke, Simon Msuva na Obrey Chirwa walifungiwa kutoshiriki michuano yoyote inayoandaliwa na shirikisho hilo baada ya kutuhumiwa kufanya fujo katika mchezo wa mwisho wa ligi kati ya Yanga dhidi ya Mbao FC msimu uliopita.

Lakini si wachezaji hawa pekee waliostahili kusimamishwa, Haruna Niyonzima ambaye alisajiliwa na Simba yeye hakuhusishwa na rungu la TFF licha ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliohusika kwenye sakata hilo.

Baadae TFF inakuja kuwaachia kwa kusema hawakuwa na hatia isipokuwa Simon Msuva ambaye aliomba radhi. Wachezaji hao walikuwa tayari wamekosa michezo ya mwanzo wa msimu kwa ajili tu wamesimamishwa tena bila kosa!

Huku mwenzao Haruna Niyonzima akiitumikia klabu ya Simba bila kubugudhiwa na mtu yeyote.

Huo ulikuwa ni mwanzo tu, swala la kufungiwa kiungo wa Yanga Pius Buswita tena siku moja kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii liliwashangaza wengi.

Buswita alituhumiwa kusajili timu mbili, Simba na Yanga lakini cha ajabu hakuwemo kwenye orodha ya wachezaji waliosajiliwa na Simba. Ni Yanga pekee iliyokuwa imewasilisha jina lake TFF.

Lakini baadae ikaja kubainika kuwa Buswita alirubuniwa na viongozi wa Simba na kuchukua pesa (Tsh Mil 10) (Mwenyewe alikiri) ili asaini klabu ya Simba.

Inadaiwa viongozi wa Simba walitumia njia za panya kufanya nae mazungumzo licha ya kufahamu alikuwa bado na makataba uliozidi miezi sita na klabu ya Mbao FC.

Yanga walifuata taratibu kwa kumalizana na Mbao FC kabla ya kumsainisha mkataba wa miaka miwili.

Baada ya Yanga kukata rufaa TFF ikamfungulia Buswita kwa masharti kwamba arudishe pesa alizochukua kwa klabu ya Simba.

Lakini TFF haikuiadhibu Simba iliyovunja sheria za usajili kwa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na mchezaji ambaye ana mkataba na timu nyingine.

Kwa sababu Simba imekuwa 'mtoto mpendwa' wa TFF imerudia tena mchezo huo kwa beki wa Lipuli FC Asante Kwasi.

Lipuli imethibitisha kuwa Kwasi bado ana mkataba wa miezi nane na klabu hiyo na Mwenyekiti wake Clement Sanga amethibitisha kuwa hawakuwahi kuwa na mazungumzo na uongozi wa Simba juu ya mchezaji huyo.

Wakati ukweli huo ukibainika, Kwasi amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba na upo ushahidi wa picha zinazomuonyesha akisaini mkataba huo sambamba na mchezaji mwingine kutoka Msumbiji.

Simba iliwahi kutumia ushahidi wa aina hiyo kuidai Yanga zaidi ya Mil 200 kwenye sakata la usajili wa Hassani Ramadhani 'Kessy'.

Kitendo cha Kessy kuonekana akiwa amevaa jezi ya Yanga siku tatu kabla ya mkataba wake kumalizika kuliipelekea Yanga iilipe Simba Mil 50.

Mbaya zaidi uongozi wa Lipuli FC umethibitisha kuwa Kwasi aliomba ruhusa kwenda kwao nchini Ghana kuhudhuria msiba wa Baba yake na walimtumia nauli ya kurudia ambapo alitakiwa kuripoti kambini Disemba 16.

Lakini kumbe mchezaji huyo alikuwa amefichwa jijini Dar es salaam akimalizana na viongozi wa Simba kulingana na taarifa zilizochapishwa kwenye magazeti.

Wakati sintofahamu hii ikiviibua vyombo vya Serikali ikiwemo TAKUKURU kuchunguza usajili wake, TFF inaongeza siku za kufunga dirisha la usajili kwa kisingizio kuwa mtandao wa FIFA (TMS) una hitilafu.

Wadadisi wa mambo wanafikiri TFF imetoa mwanya tu kwa 'mtoto mpendwa' kukamilisha taratibu za usajili ili akwepe adhabu.

Sakata la Kwasi ni mtihani maridhawa kwa TFF kujidhihirisha kama inafuata sheria au la ingawa kuna taarifa kuwa viongozi wa TFF wamekuwa wakifanya vikao vya siri na viongozi wa Simba ili kuhakikisha sakati hilo linamalizika salama.
Simba hawatapewa adhabu kwa hili kwani ni mwana mpendwa . Subiri tuone
 
Pole mwanayanga,hii awamu tutafanya tunavotaka kama wewe wakati wa Malinzi,nakushauri usainishe mikataba wachezaji wako ambao mikataba inaelekea ukingoni,utawakosa hatutanii,kuhusu swala la kwasi hakuna wa kufungiwa maana Lipuli si wamiliki halali wa kwasi
Nasikia simba Kaininua green worries nidhibitishie!
 
Ninachomifahamu ni Asante kwasi si mchezji halali wa Lipuli wa la Mbao huko kote alikuwa anacheza kwa mkopo kwenye mchezaji wao halali ndio kwenye maamzi ya kumuuza watakako Lipuli na Mbao wanapewa tarifa tu hawana namna ya kumzuia huo ndio ukweli
Anaondoka Baada ya kumaliza mkataba aliosaini sio kienyeji namna hiyo.
 
Poleni Sana mbumbumbu kwa kutolewa Na timu ya daraja la pili,vipi Asante kwasi hakucheza?
 
Malinzi aliisaidia Simba vs Polisi Dar kombe la Azam.
Mpaka ikawa bingwa KARIA msaada wako uko wapi?

Lipuli wamethibitisha Simba imemrubuni mchezaji wao aliyendani ya mkataba.

KARIA okoa jahazi.

Tunakuaminia.

Maana Yanga ni Jabali halitikisiki tunalishindwa.
 
Pole mwanayanga,hii awamu tutafanya tunavotaka kama wewe wakati wa Malinzi,nakushauri usainishe mikataba wachezaji wako ambao mikataba inaelekea ukingoni,utawakosa hatutanii,kuhusu swala la kwasi hakuna wa kufungiwa maana Lipuli si wamiliki halali wa kwasi
Jamaa anajaribu kuzima moto kwa ushuzi
 
Back
Top Bottom