Recent content by Pangamalasy

  1. P

    Kwanini Malkia Elizabeth hamiliki Paspoti ya kusafiria?

    Mwingine ambae hamiliki passport ni Papa.
  2. P

    Ukweli mchungu: Hutavuka mpaka wa Tanzania bila kupata chanjo ya COVID-19

    Hii chanjo ya Covid nyuma yake sio salama kabisa,na wazungu wamejipanga atakae kwamisha kukiona cha moto
  3. P

    Hivi nchi yetu ilishawahi kunufaika na Chama chochote cha Upinzani?

    Yaani watengeneze ufisadi wenyewe halafu waibue hoja wenyewe,tupe mfano wa mwana CCM aliyeibua hoja ya ufisadi
  4. P

    DC Kihongosi wa Arusha amekosea, Huu ni ulevi wa madaraka na unyanyasaji wa raia walioipa dhamana Serikali

    RC Chalamila na DC Kihongosi wote ni wahehe panick kubwa kuliko akili,maana RC Chalamila nae alichapa watoto viboko huko Chunya
  5. P

    Embu tumjadili Rais ajaye wa awamu ya sita 2025

    Kama mwenyewe alisema Raisi ajaye lazima awe kijana angalieni kwenye baraza la mawaziri ni nani kijana, hapo utajua Rais ajaye ni nani
  6. P

    Jaji Warioba aishangaa Tume ya Uchaguzi kwa kitendo cha kuengua Wagombea wa Vyama mbalimbali vya upinzani bila kufuata utaratibu

    Hapo Mkapa nae angekuwepo angeongeza maneno yake mazito,ila Warioba,Malecela,Butiku n.k wakipumzika hatutakuwa na wenye hekima na msimamo ktk taifa letu
  7. P

    Ijue nchi ya Ugiriki/ Uyunani (Mama wa nchi za Ulaya)

    Babel-Syria Medopersia(Umedi na Uajemi)-Ilan na Iraque Greeck-Uyunani Roma empire-Rumi Papacy-RC Hizo ndio dola zilizotawala dunia na sasa tupokwenye utawala wa Upapa.Dola LA Kiyunani ilipendwa sana kwasababu ya kutumia akili badala ya mabavu ktk utawala,pia ilileta maendeleo ktk makoloni yake...
  8. P

    Bagonza: Kuna dalili za kuliangamiza Taifa kwa sababu watu wanaamini uongo na kumchukia mtu anayesimamia ukweli

    Viongozi kama hawa ndio walisaidia ktk ukombozi wa bara LA Afrika,Leo wakizungumza mnawabeza RIP Desmond Tutu
  9. P

    Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

    Haya ndo madhara ya kutokuwepo mchujo wa kupata wabunge,watu wamepita bila kupingwa hawajapitishwa hata kwenye moto ilitupate watu pure for public tasks.
  10. P

    Zitto Kabwe: Mwanasiasa atayenufaika na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK)

    Hapa wanasiasa harisi wanajulikana sasa,tatizo wanasiasa wengi hawawezi kujitegemea bila kuwemo kwenye mfumo wa kiutawala
  11. P

    Dotto Bulendu: Naamini CHADEMA watavuka katika hili, haya hutokea Taasisi inapokua

    Dotto kwa andiko hili kama sio game LA CCM dhidi ya Chadema ionekane nanyie mna huruma ili akina Halima wasamehewe basi hata uwaziri sijui kama utapata.
  12. P

    Hongera Polepole, CCM itamisi nafasi yako - Bungeni nako ng'aa

    Bora akawe mbunge tumuone akivaa nguo zingine sokila mda mashati ya CCM tu
Back
Top Bottom