Hapo Mkapa nae angekuwepo angeongeza maneno yake mazito,ila Warioba,Malecela,Butiku n.k wakipumzika hatutakuwa na wenye hekima na msimamo ktk taifa letu
Babel-Syria
Medopersia(Umedi na Uajemi)-Ilan na Iraque
Greeck-Uyunani
Roma empire-Rumi
Papacy-RC
Hizo ndio dola zilizotawala dunia na sasa tupokwenye utawala wa Upapa.Dola LA Kiyunani ilipendwa sana kwasababu ya kutumia akili badala ya mabavu ktk utawala,pia ilileta maendeleo ktk makoloni yake...
Haya ndo madhara ya kutokuwepo mchujo wa kupata wabunge,watu wamepita bila kupingwa hawajapitishwa hata kwenye moto ilitupate watu pure for public tasks.
Dotto kwa andiko hili kama sio game LA CCM dhidi ya Chadema ionekane nanyie mna huruma ili akina Halima wasamehewe basi hata uwaziri sijui kama utapata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.