Recent content by pangalukela

  1. P

    Vyeti vya kufungulia wakala wa bima

    Nimekuelewa sana kaka mungu akubariki sana ebu nianze kulifanyia kazi
  2. P

    Vyeti vya kufungulia wakala wa bima

    Na mim natamani sana kufanya hiyo biashara ila sijui pa kuanzia ingekua vizuri ungetoa maelezo mazuri ili nijue nianzie wapi.
  3. P

    Vibali vya ushamisho TAMISEMI

    Wenye taarifa watujuze hivyo vibali vinatoka lini maana tumechoka kusubiria....
  4. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo Njombe mji idara ya sekondari nahitaji mwalimu wa kubadilishana toka Mbeya Jiji aliyetayari ani PM.
  5. P

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu ambaye nafanya kazi mkoa wa njombe halimashauri ya mji natafuta mtu wa kubadilishana naye toka mkoa wa mbeya -mbeya jiji. mawasiliano-0764600900
  6. P

    Ajira za UDOM zinaendelea kuwa kizunguumkuti1

    kuwa mvumilivu kaka ndo changamoto za maisha kuna siku utakula shavu
  7. P

    Hivi ni Kweli Wizara Haijaweka majina ya walioajiriwa Kwa Mtandao?

    endelea kusaidia wazazi kazi ajira mpaka mwez wa saba ,,,,:smiling:
  8. P

    Watendaji wa serikali mnaua elimu ya tanzania

    Fuatilia vyeti vyake inawezekana siyo mwalimu kapewa tu cheo........
  9. P

    Tuma cv sasa upate kazi ya uhakika

    kazi ipo..........
  10. P

    Msaada:maajenti wa vyuo mbalimbali vya nje

    Kaka kama una website yao naomba uitupie hapo.
  11. P

    TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

    R.I.P Sajuki
Back
Top Bottom