Recent content by pangalashaba

  1. pangalashaba

    GE2025 Godson: Mungu awasamehe wanaomkosoa Samia, miaka 5 haitoshi

    Huyu Mollel wa wapi? Kuna kitu nilitaka kusema juu ya wamasai kuhusiana na watoto wanaozaliwa na ulemavu. Anyway acha apush #.
  2. pangalashaba

    GE2025 Chalamila: ‘Hatuitaki CCM, hatumtaki mama’ ni hasira za muda mfupi

    Kila uchao watu wanazidi kumchukia mama n ccm yake, hili mbona lipo wazi sana.
  3. pangalashaba

    KERO Vifusi barabara ya mitaa ya Isoka A na Isoka B kuelekea Hospital ya Wilaya ya Iringa mjini kutosambzwa zaidi ya mwezi

    Vifusi vilivyopo katika mitaa tajwa hapo juu vimekuwa kero kwa wananchi wa mitaa hiyo kwani ndiyo barabara kuu waitumiayo kwenda Hospital ya Wilaya, Frelimo katika manispaa ya Iringa. Vifusi hivyo vilimwaga tangu July 2025 lakini havijasambazwa mpaka leo hii. Wananchi wa mitaa hiyo wanapata...
  4. pangalashaba

    How Did a Tanzanian End Up in a U.S.–Cartel Arms Scandal? August 23, 2025

    By Patrick Newman | The One Africa Show Newsroom Washington, D.C. — A Tanzanian national has been extradited to the United States to face trial in a staggering international arms trafficking case that allegedly sought to supply heavy weapons to one of the world’s most violent drug cartels...
  5. pangalashaba

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reforms, No election.
  6. pangalashaba

    Lissu na Gwajima wameleta maneno mapya kwenye Kiswahili Uchwara na Ponjoro

    Lazima utakuwa mtoto wa kuanzia elfu mbili na tano bila shaka.
Back
Top Bottom