DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,152
Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye Ualbino Tanzania (TAS), Godson Mollel, amemsifu mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa namna alivyowajali watu wenye ulemavu katika kipindi cha karibu miaka mitano akiwa madarakani
“Mimi ningekuwa na mamlaka ya kuivunja katiba ya Chama Cha Mapinduzi, miaka mitano ijayo haikutoshi kwa ajili ya Watanzania. Una dhamira nzuri kwa Watanzania, hao waropokaji wanaoropoka Mungu awasamehe”, ameeleza.
“Mimi ningekuwa na mamlaka ya kuivunja katiba ya Chama Cha Mapinduzi, miaka mitano ijayo haikutoshi kwa ajili ya Watanzania. Una dhamira nzuri kwa Watanzania, hao waropokaji wanaoropoka Mungu awasamehe”, ameeleza.