Katika mahafali ya 44 ya Chuo kikuu Dar es salaam yatakayofanyika katika ukumbi wa Mlimani City tarehe 08 November 2014,aliyekuwa mkuu wa chuo(Chancellor) wa UDSM marehemu Balozi Fugence Kazaura na msanii maarufu Africa aliyeshinda tunzo nyingi zaidi kuliko wasanii wote Tanzanias Diamond...
Najiuliza mbona sherehe imekuwa kubwa sana wakati katiba yenyewe bado,kinacho kabidhiwa ni katiba iliyo pendekezwa.......kwa maoni yangu angekabithiwa ikulu tu,ikipatikana katiba baada ya kura ya maoni....ndio tuone mbwembwe.....What if ikikataliwa kwenye kura za maoni kwa asilimia 95% je???
Kwa style hii ata hii rasimu ya Sita na Chenge ikiletwa kwa wananchi inatapita kwa kura za HAPANA kwa asilimia 85% na NDIO asilmia 15%.....maana CCM kuchakachua ndio imani yao...
Moja ya mahubiri yake ni hii..."Peponi kuzuri tu...Peponi kuzuri sana,unapewa mizingo arobaini,yaani wanawake wazuri wazuri...arobani,na unapewa nguvu ya kupiga wanawake mia,yaani hawa sitini wako kama akiba tu...anamliza kwa kusema...Peponi kuzuri sana,mwenyezi mungu tuingize peponi...Inshallah
Mkomamanga....sio kweli ndege ilikuwa na rubani wa kitusi au kihutu,ndege ilikuwa aina ya Falcon,na ilikuwa na marubani wa kifaransa na wahudumu wa kifaransa...
Quezon...umeandika vizuri lakini kuna mambo natakuweka sawa,kwanza ile ndege iliyokuwa umewabeba maraisi hao wa wawili ilikuwa ikitoka Dar es Salaam na sio Arusha,na mikutano ilikuwa ikifanyika Kilimanjaro Hotel chini ya rais mstaafu Mzee Mwinyi....bado napata shaka ukiniambia kuwa ndege...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.