Recent content by panda45

  1. panda45

    Tulinganishe biashara na ajira hapa

    My POV BIASHARA -ina risk kubwa but also high return (profit) -peronal freedom ya kujiamulia ni kubwa -inahitaji consistency na personal supervision ili ikuwe -inahitaji critical thinking sana (pasua kichwa) -possibility ya kukua ni kubwa -inakupa mwelekeo mzuri kama ukiimudu vizuri as kila...
  2. panda45

    Baada ya kuhitimu masomo ilikuchukua muda gani hadi kupata ajira yako ya kwanza?

    Na sisi wengine tupo tupo bado tulimalizaga last year ni kuapply tu
  3. panda45

    Ali Kamwe: Hatutacheza mchezo wa kombe la Shirikisho CRDB mpaka tulipwe pesa zetu za Msimu uliopita

    Either wamefulia au lah, ni wazi ya kuwa:- 1. Yanga waliwekeza from matchday 1 to the final na wakabeba, wakapewa kombe la kutembelea. Huku mamlaka zikijipiga kifua kuwa tunaongoza ligi. So why usilipe stahiki ndiyo uanze na msimu mwingine. 2. CRDB walikuwa na kazi gani ama walilipa nini kwa...
  4. panda45

    Vijana wa Kenya sio kwamba wanajielewa isipokuwa ni vijana wasio na Adabu; waliokata tamaa

    My POV Ni kweli vijana wa Kenya hawana adabu na wanafuata mkumbo BUT sio rahisi kuwaendesha as nobodies ama watu wasiojielewa. 1. Wanakuwa active kustep up kuongea kama kuna kitu hakipo sawa nationwide. 2. Wana umoja as wakipanga kitu ama wakiwa na lao ni ngumu kupangua mpaka waki-achieve (not...
  5. panda45

    KERO Kwanini Customer care wa halotel ni wabovu?

    Halotel ilikuja kwa kasi ila nowadays ime-drop totally. Haina innovations mpya sijajua nyie wenzangu
Back
Top Bottom