Mimi binafsi namkubali sana Dr slaa, ni gwiji mbobezi kwenye siasa. mwenye msimamo na kuamini anachokiamini, amekipigania sana chama cha chadema. anajua kupangua hoja na kujenga hoja zenye mantiki na ushindani. ni mtu mwenye mtizamo wa...
hivi hamjui kuwa kagame anaongoza Tanzania kwa sasa? kagame anaitumia Tanzania kupata ushawishi wa AU ili hapate kutumia hela za Africa development Bank kwenye miradi yake, lakini ata style ya uhongozi frani unafanana na wa kwake.
Tusidanganyane kitu kikishaitwa cha umma ni hovyo tu. ata angewapatia mtaji kiasi gani hawataweza kudumu kwa muda mrefu, Mwalimu alifanya yote hayo lakini alishindwa serikali kufanya biashara sio falsafa yake duniani kote.
ukiona disposable income haipo unategemea uchumi ukuwe kivipi? ukiona fm academia wanaenda kupiga mziki kwenye ukumbi arafu kiingilio ni bia moja unategemeanini? ukiona mtua anaenda kuchukua mkopo benk ili afanye biashara na benki zinaweka vikwazo vingi...
Tuliawaambia kuwa serikali inajidai kufanya kazi yenyewe uku ikiwa haina wataalamu wa kutosha wakakataa. sasa inabidi ata uchunguzi wa haya majengo ufanyike kule Kagera ihungo wanakojenga TBA, pale Magomeni kwenye majengo na kwingine kote wanakojenga...
Ukweli ni kwamba serikali inakurupuka kufanya maamuzi yanayoligalimu taifa, wazungu wanasema hivi technical Problem needs technical solution, haukuwa uwamuzi mzuri wa Kumuondoa Prof Muongo kwenye Wizara hiyo prof mbobezi kwenye maswala ya nishati lakini...
Lakini mkoa umetupwa kabisa. ukienda Mbeya kuna Mashirika Mengi, NGO nyingi zimependekezwa uko Taasisi za kilimo kibao . Njombe kuna mashamba makubwa ya serikali yanayolimwa miti na kuwafundisha wananchi, corporatives ziko nyingi uko, Arusha...
umuimu wa Kujenga uwanja wa ndege wa Omukajunguti ilikuwa kwanza kufungua ukanda wa kagera kwenye dunia. lakini pili kuvutia wawekezaji wa viwanda vya nyama na Maziwa kuwekeza na kwa kuwa soko kubwa ni nchi zilizouzunguka mkoa. zenye upungufu wa nyama na...
Nilitegemea kwa mtu anayeona mbali Kagera tunaitaji Meli kubwa ya mizigo. ichukue mizigo kutoka Mwanza hadi Bukoba ili sasa waganda waweze kuona kwao ni faida kupitishia mizigo yao upande wa Tanzania. serikali itafute ata mbia au itumie hela...
Ukweli ni kutofanya mahesabu ya logistics forward and backward linkages, ukiangalia mkuo wa kagera umepakana na nchi ngapi ambazo ni land locked hauwezi kuubeza mkuo wa kagera kama unataka kuwin economies of scale za nchi zilizouzunguka, hii ni kweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.