Recent content by pambe samanini

  1. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hiki kizazi cha Gen Z wana Iq ndogo?

    Imenilazimu nifikirie kwa IQ ya mtoa mada. IQ ipi ya mtoa mada?
  2. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Afya

    Anywhere brother, but kwa sababu nipo Shinyaga nilionelea kuwa ni karibu nami, km Kuna sehemu nyingine tijuzane tu
  3. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Afya

    Naomba msaada kama Kamanga medics hospital wanataibu severe hearing impairment? Aliye na uzoefu matibabu ya hapo anisaidie
  4. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Niliyosoma, ninayosoma na nitakayosoma sinayo mamlaka ya kielimu kuyajua na kuyafanyia kazi, bali kila kitu ni uharibifu tu, kujua au kutokuja ni ujinga tu.
  5. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Atunukiwa Tuzo na Kanisa la Moravian Tanzania

    Biblia. Mathayo 4:1-11 [1] Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi. [2]Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa. [3]Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate. [4]Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu...
  6. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Chadema huwezi kuiweka pembeni ni watu zaidi ya 9 M

    Nikisikia chauma, naumwa kifaduro
  7. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Askofu awauliza wanaosema Maaskofu wanachanganya Dini na Siasa, kwani Waumini wanaishi hewani?

    Asante baba askofu kwani umenifumbua macho naweza ona sasa, kumbe siasa na dini ni ndugu kwani watu wake ni waumimi na papo hapo ni wanasiasa. Hoja hii itanifanya niulize hao wasiotaka dini kuwa siasa, na siasa kuwa dini wako wapi?
  8. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kosa la Oktoba 29, 2025 tutalijutia sana

    Walimu wamekuwa wahanga wa kutukanwa na kunangwabna watanzania hasa pale mambo yanapokwenda vibaya, kada zingine hazisemwi sana mfano polisi, madaktari, mainjinia, Afisa kilimo n.k Katika tasinia ya ualimu nadhani wingi wao unawahukumu sana, na pia hawana taasisi imara ya kuwasemea na kukataa...
  9. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Maaskofu jueni kuwa Uaskofu si cheo cha kisiasa ni cheo cha kiroho wasaidieni watu wauone ufalme wa Mbinguni

    Warumi 13:1-4 [1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. [2]Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. [3]Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo...
  10. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Vijana waimba Mapambio ya Serikali humu ndani; Je, na nyie ni wanufaika na huu upigaji wa Riport ya CAG?

    💯, sijasikia cag akiwananga tume huru ya uchunguzi, why?
  11. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imelipa CAF Tsh. Bilioni 82, Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027

    Imelipa ili iweje, kwani tz siyo mwanachama wa CAF? Tz inataka sifa ambazo haina tunaiga mambo ambayo yapo juu ya uwezo wetu, badala ya kujenga viwanja, kuanzisha football academy,kuleta VAR kwenye viwanja vyetu nk tunalipa a lot of money for the pompous pride. Tunavuna nini kwenye shamba...
  12. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Iran na Israel zinapigana bila kujali wala kuheshimu Ramadhani na Kwaresma. Mwafrika uliyeletewa dini, unafunga na kushinda njaa

    Kuchelewa kwetu kupata elimu kunatufanya tumkatae Mungu, kujifunza kwetu Mungu na mizimu yetu kunatufanya tukate Mungu kuwa yupo, Cha ajabu kabisa tukiloga tunajisifu, tukiua albino, tunajisifu, tukiua vikongwe tunajisifu, hatuna chetu Cha kujivunia zaidi ya matusi na kejeli kibao. Watu...
  13. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asenga: Rais kumteua mtoto wake (Wanu) imekuwa Nongwa; eti nchi imeuzwa. Hivi, mkimuangalia Abdul na wema wake ule, kweli anaweza kuuza nchi yetu?

    Hayati mwl Julius K. Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Magufuli na kikwete (hai) watoto wao wapi waliwateua?
  14. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Tume imeelemewa na shuhuda za kweli. Sasa hawataki tena ziende hewani moja kwa moja

    Walitamani inyeshe mvua kubwa sana Mungu kajibu; sasa wanataka manyunyu wakiwa kwenye anga ya juu kwa usafiri wa ndege
Back
Top Bottom