Recent content by pambe samanini

  1. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Clouds FM ya zamani ilikuwa na ratiba nzuri ambayo ilikuwa inakushawishi kusikilza kuanzia asubuhi hadi jioni

    Huku kwangu haisikiki kabisa, ndo maana hata vipindi vyao nimesahau
  2. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Watoto wanacheza vizuri, mkiingiza siasa mtaharibu

    Tuna mizigo mingi ya kutuliza maumivu, sasa Hawa vijana na mafanikio Yao lazima tuyaunganishe na sera ya kitaifa ya 2050 Hakuna jambo Tanzania bila siasa na mafanikio yote ni siasa.
  3. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Machawa wa Zanzibar wanamwita Makamu Yuda!

    Natamani kusikika na Kuna mengi
  4. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Ninasubiri kwa hamu utekelezaji wa maagizo ya rais kwa Makonda wa kui-camp Serengeti Boys hadi world cup 2030

    Tunapenda sifa kuliko kazi, haya naye ni maneno ya sifa
  5. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Walimu waliweka tiki Oktoba 29, wamepigwa pini madaraja wanatoa milio

    Kama taifa tunayo safari ndefu ya kujielimisha juu ya mstakabali wa taifa letu na watu wake. Jambo baya likitokea kila wakati Kuna watu hutupiwa virago. Mawali yangu kwao Uko wapi msingi wa utaifa wetu? Wapi tulianza kuteleza na kuanguka? Je, Walimu hao ndiyo hawajakupa elimu amabyo unatia...
  6. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hiki kizazi cha Gen Z wana Iq ndogo?

    Imenilazimu nifikirie kwa IQ ya mtoa mada. IQ ipi ya mtoa mada?
  7. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Afya

    Anywhere brother, but kwa sababu nipo Shinyaga nilionelea kuwa ni karibu nami, km Kuna sehemu nyingine tijuzane tu
  8. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Afya

    Naomba msaada kama Kamanga medics hospital wanataibu severe hearing impairment? Aliye na uzoefu matibabu ya hapo anisaidie
  9. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Niliyosoma, ninayosoma na nitakayosoma sinayo mamlaka ya kielimu kuyajua na kuyafanyia kazi, bali kila kitu ni uharibifu tu, kujua au kutokuja ni ujinga tu.
  10. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Atunukiwa Tuzo na Kanisa la Moravian Tanzania

    Biblia. Mathayo 4:1-11 [1] Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi. [2]Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa. [3]Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate. [4]Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu...
  11. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Chadema huwezi kuiweka pembeni ni watu zaidi ya 9 M

    Nikisikia chauma, naumwa kifaduro
  12. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Askofu awauliza wanaosema Maaskofu wanachanganya Dini na Siasa, kwani Waumini wanaishi hewani?

    Asante baba askofu kwani umenifumbua macho naweza ona sasa, kumbe siasa na dini ni ndugu kwani watu wake ni waumimi na papo hapo ni wanasiasa. Hoja hii itanifanya niulize hao wasiotaka dini kuwa siasa, na siasa kuwa dini wako wapi?
  13. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kosa la Oktoba 29, 2025 tutalijutia sana

    Walimu wamekuwa wahanga wa kutukanwa na kunangwabna watanzania hasa pale mambo yanapokwenda vibaya, kada zingine hazisemwi sana mfano polisi, madaktari, mainjinia, Afisa kilimo n.k Katika tasinia ya ualimu nadhani wingi wao unawahukumu sana, na pia hawana taasisi imara ya kuwasemea na kukataa...
  14. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Maaskofu jueni kuwa Uaskofu si cheo cha kisiasa ni cheo cha kiroho wasaidieni watu wauone ufalme wa Mbinguni

    Warumi 13:1-4 [1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. [2]Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. [3]Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo...
  15. pambe samanini

    JamiiForums Tanzania Vijana waimba Mapambio ya Serikali humu ndani; Je, na nyie ni wanufaika na huu upigaji wa Riport ya CAG?

    💯, sijasikia cag akiwananga tume huru ya uchunguzi, why?
Back
Top Bottom