Tuna mizigo mingi ya kutuliza maumivu, sasa Hawa vijana na mafanikio Yao lazima tuyaunganishe na sera ya kitaifa ya 2050
Hakuna jambo Tanzania bila siasa na mafanikio yote ni siasa.
Kama taifa tunayo safari ndefu ya kujielimisha juu ya mstakabali wa taifa letu na watu wake.
Jambo baya likitokea kila wakati Kuna watu hutupiwa virago. Mawali yangu kwao
Uko wapi msingi wa utaifa wetu?
Wapi tulianza kuteleza na kuanguka?
Je, Walimu hao ndiyo hawajakupa elimu amabyo unatia...
Niliyosoma, ninayosoma na nitakayosoma sinayo mamlaka ya kielimu kuyajua na kuyafanyia kazi, bali kila kitu ni uharibifu tu, kujua au kutokuja ni ujinga tu.
Biblia. Mathayo 4:1-11
[1]
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
[2]Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
[3]Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.
[4]Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu...
Asante baba askofu kwani umenifumbua macho naweza ona sasa, kumbe siasa na dini ni ndugu kwani watu wake ni waumimi na papo hapo ni wanasiasa.
Hoja hii itanifanya niulize hao wasiotaka dini kuwa siasa, na siasa kuwa dini wako wapi?
Walimu wamekuwa wahanga wa kutukanwa na kunangwabna watanzania hasa pale mambo yanapokwenda vibaya, kada zingine hazisemwi sana mfano polisi, madaktari, mainjinia, Afisa kilimo n.k
Katika tasinia ya ualimu nadhani wingi wao unawahukumu sana, na pia hawana taasisi imara ya kuwasemea na kukataa...
Warumi 13:1-4
[1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
[2]Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.
[3]Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.