Niliyosoma, ninayosoma na nitakayosoma sinayo mamlaka ya kielimu kuyajua na kuyafanyia kazi, bali kila kitu ni uharibifu tu, kujua au kutokuja ni ujinga tu.
Biblia. Mathayo 4:1-11
[1]
Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.
[2]Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.
[3]Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.
[4]Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu...
Asante baba askofu kwani umenifumbua macho naweza ona sasa, kumbe siasa na dini ni ndugu kwani watu wake ni waumimi na papo hapo ni wanasiasa.
Hoja hii itanifanya niulize hao wasiotaka dini kuwa siasa, na siasa kuwa dini wako wapi?
Walimu wamekuwa wahanga wa kutukanwa na kunangwabna watanzania hasa pale mambo yanapokwenda vibaya, kada zingine hazisemwi sana mfano polisi, madaktari, mainjinia, Afisa kilimo n.k
Katika tasinia ya ualimu nadhani wingi wao unawahukumu sana, na pia hawana taasisi imara ya kuwasemea na kukataa...
Warumi 13:1-4
[1]Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
[2]Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.
[3]Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo...
Imelipa ili iweje, kwani tz siyo mwanachama wa CAF? Tz inataka sifa ambazo haina tunaiga mambo ambayo yapo juu ya uwezo wetu, badala ya kujenga viwanja, kuanzisha football academy,kuleta VAR kwenye viwanja vyetu nk tunalipa a lot of money for the pompous pride. Tunavuna nini kwenye shamba...
Kuchelewa kwetu kupata elimu kunatufanya tumkatae Mungu, kujifunza kwetu Mungu na mizimu yetu kunatufanya tukate Mungu kuwa yupo, Cha ajabu kabisa tukiloga tunajisifu, tukiua albino, tunajisifu, tukiua vikongwe tunajisifu, hatuna chetu Cha kujivunia zaidi ya matusi na kejeli kibao.
Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.