pambe samanini
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 444
- 241
Naomba msaada kama Kamanga medics hospital wanataibu severe hearing impairment? Aliye na uzoefu matibabu ya hapo anisaidie
Anywhere brother, but kwa sababu nipo Shinyaga nilionelea kuwa ni karibu nami, km Kuna sehemu nyingine tijuzane tuUnahitaji kupata tiba Kamanga tuu peke yake?
Anywhere brother, but kwa sababu nipo Shinyaga nilionelea kuwa ni karibu nami, km Kuna sehemu nyingine tijuzane tu