Si kweli,labda ungesema ndani ya CCM issue ni maslahi,iwapo yataonekana hayako upande wako utakuwa adui wa wanufaika! Reference pole pole,bashiru,nk suala la lisu ni tofauti kabisa
Mahakama imehukumu ila Kwa ambae hujui SI vyema kuhukumu,Kuna siku mtahukumiwa! Kuna utata mkubwa sana Kwa hili sakata,vita ya ki uchumi ni mbaya sana!
Kwa ligi ya Tanzania kocha akiwa hata mwijaku au Bambo yanga anakuwa bingwa Kwa sababu wao ushindi unategemea bahasha na kudhamini wa timu 8 za ligi kuu!
Kama yanga walitumia mbinu ya kugoma tarehe 15 na kutumia viongozi wa kisiasa waswahili jk &his company na kumshawishi mlipa Kodi mkubwa nae awepo kwenye kikao Ili kuongeza uzito wa hoja Kwa nini simba iwe dhambi kutumia japo passive reaction kama hiyo Ili mamlaka zijue kuwa simba hawakubaliani...
Kuna wakati uwe unaficha ujinga,issue siyo mapato,Kwani hujui 85% ya tiketi ilikuwa imeuzwa tayari? Kama simba watacheza basi ni mind and technically game,kama hawatacheza basi ni misimamo ya maana sana!
Nuclear ni hatari Kwa usalama wa mwanadamu,kama Iraq hawakuwa na nuclear Kwa nini wajitape na kujitangaza wanayo? The same Kwa Iran,kama hawakuwa na nuclear Kwa nini watishie kuwa Wana nuclear? Marekani ameamua kuingilia Ili kuokoa maisha ya watu maana Kwa hali ilivyokuwa Iran Kwa kuzidiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.