Nilichogundua watu wengi hawawezi kutofautisha profession ya mtu na maendeleo ya mtu binafsi,hakuna uhusiano wa umasikini na ualimu!walimu wengi kupitia ualimu Leo hii ni matajiri na profession zingine wapo masikini tu
kwa point hii nimeamini Yanga wote hamnazo,kumbe Yanga inasajili kwa ajili ya simba !!simba akili kubwa wanasajili kwa ajili ya vikombe kama ligi kuu!!poor Yanga from thinking hadi uwanjani!eti chama hafurukuti kwa simba!!!!!!!!!
Yanga ni kikundi cha wahuni ,kauli kama hiyo ya Edna lema inatakiwa kulaaniwa na wanawake wote wanaostraggle ktk kufanikiwa,awe kocha wa like au kiume kinachotakiwa ni kufundisha mbinu tu za soka!hakuna kocha wa kike au kiume!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.