Recent content by pamba boy

  1. P

    Uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Ushauri Simba SC

    Hii kamati inahitimisha utengano uliokuwepo Simba,umoja huu unaenda kuleta points 6 muhimu kutoka Kwa jirani na ubingwa huooo!
  2. P

    Ikikuuma Kajinyonge, ila ukweli ni kwamba 85% Moses Phiri anaenda Yanga SC Dirisha Dogo au Msimu Mpya ujao

    Na wewe ikibidi kasajiliwe Tanga,Kwa I huko yanga wanacheza wote? Gift Fred anacheza? Nkane na Ngushi wanacheza? Toeni ushamba ktk football
  3. P

    Tundu Lissu: Walimu wasisimamie uchaguzi

    Nilichogundua watu wengi hawawezi kutofautisha profession ya mtu na maendeleo ya mtu binafsi,hakuna uhusiano wa umasikini na ualimu!walimu wengi kupitia ualimu Leo hii ni matajiri na profession zingine wapo masikini tu
  4. P

    Tanga kiingilio elfu 20! Hawa TFF wako sawa sawa kweli?

    Ni sawa kabisa kwa principle ya demand na supply,ukiweka 10 elfu itakuwa shida
  5. P

    Ulianzaje kuipenda timu unayoishabikia?

    George masatu na Hussein Aman Masha walivyohamia Simba kutoka pamba ya mwanza! Masatu alikuwa mpangaji wetu nikiwa na miaka 7
  6. P

    Simba SC Kupimana ubavu na CSKA Moscow Katika mechi ya kirafiki

    Ni mechi nzuri ya kuangalia na ya kibiashara iwapo Azam atarusha
  7. P

    Hivi inakuwaje Makosa ya Timu ya Yanga yanarekebishwa na TFF ? Wajuzi wa Mambo hii imekaaje ?

    Msimu huu utopolo wamejipanga ki fitina nje na ndani
  8. P

    Moses Phiri akataa ofa ya Yanga, asaini Simba SC

    SALUTE KWAKO NDUGU,ANAEPINGA HII HOJA NI HAMNAZO KAMA ALIVYOSEMA HAJI MANARA
  9. P

    Hakuna ubishi tena, Clatous Chota Chama kurejea rasmi Simba Sports Club

    kwa point hii nimeamini Yanga wote hamnazo,kumbe Yanga inasajili kwa ajili ya simba !!simba akili kubwa wanasajili kwa ajili ya vikombe kama ligi kuu!!poor Yanga from thinking hadi uwanjani!eti chama hafurukuti kwa simba!!!!!!!!!
  10. P

    FT: Yanga 0 Azam 0. Azam wametinga fainali kwa kuwafunga Yanga Penati 8 kwa 9

    Yanga hata wakizidiwa watabebwa, timu imejaa michongo kila idara
  11. P

    Simba Queens yaikung'uta Yanga SC 4-1

    Yanga ni kikundi cha wahuni ,kauli kama hiyo ya Edna lema inatakiwa kulaaniwa na wanawake wote wanaostraggle ktk kufanikiwa,awe kocha wa like au kiume kinachotakiwa ni kufundisha mbinu tu za soka!hakuna kocha wa kike au kiume!
  12. P

    Viongozi wa yanga kwenye hili la timu ya wanawake mmelala usingizi wa pono amkeni mnatuaibisha

    mtego mkuu wa ligi yetu msimu huu ni udhamini wa gsm ktk ligi na mtiti wake ni serikali pekee itakayotatua!
  13. P

    Viongozi wa yanga kwenye hili la timu ya wanawake mmelala usingizi wa pono amkeni mnatuaibisha

    hata timu ya wanaume bila fitina na rushwa kutoka jiesmu ni ngumu sana kushindana na simba nchi hii!
Back
Top Bottom