Ilipimwa kipindi kilekile, walianza kupima hapo bongo na kwa hapo nchini utaratibu na Sheria ambayo haijaandikwa inayohusiana na majibu ya DNA, inataka sample ikipelekwa majibu lazima yawe positive ili kuepusha mtoto asije akakosa matunzo. Ikitokea baadaye baba wa mtoto akafariki halafu mama...
Acha story za vilabuni hizo.
Utasubiri sana US ku fail. US ilikuwa ifeli wakati ipo chini ya Democrat, siyo GOP.
Halafu tatizo lenu mnaangalia padogo sana wakati kinachoendelea ni kikubwa na wanaoumia ni wengi kuliko Iran.
Hata hao Iran sasa hivi wamebaki migambo wa Jiji, jeshi ni zilipendwa
Kama ni huyo jamaa mbona issue ilimtokea kitambo tu, ilikuwa tangu 2022 hadi aka delete picha za mtoto na mwanamke huko mitandaoni.
Imekuwaje imeibuka tena kama issue mpya?
Hizo taarifa zako kiboko. Ubalozi upi uliolipuliwa? Kama asingekuwa na kambi middle east unashani Iran ungekuwa inapibdwa na kuchomwa kila siku kama kibaka aliyekamatwa Manzese au Mwananyamala?
Kambi zote zipo functional
Sasa hivi wana deal na Gorilla tu. Halafu kuiendeleza nako ni sehemu ya mkakati. Wewe ulivyoambiwa siku tatu ndiyo ukaondoka nayo? Taarifa mtapewa nyingi tu na hizo ni sehemu ya mbinu
Tafuta budget iliyotumika kipindi kile halafu ujue nini kilitokea. Wewe unafiki 4% ya US budget ni kitu kidogo? Tunaongelea $bilioni 400 ya kipindi kile
Kwa resistance ipi waliyoifanya ukilinganisha na kujimwambafy kwao huku wakiwa na China na Russian intellugence support na silaha zao za ulinzi wa anga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.