Recent content by PakiJinja

  1. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Wasifu wa Naibu Waziri wa Ajira Eveline Munisi

    Unategemea nini ikiwa mliyempa ofisi kuu tu amesomea degree ya mambo mbalimbali
  2. PakiJinja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto akizaliwa nyumbani kwangu ni wa kwangu, mama yake ataondoka ila mtoto atamwacha halafu nimjue huyo kidume atakayekuja kwangu kudai! NAMTAIFISHA

    Wanadai wanapambana kuokoa watoto wasije wakakosa matunzo.
  3. PakiJinja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto akizaliwa nyumbani kwangu ni wa kwangu, mama yake ataondoka ila mtoto atamwacha halafu nimjue huyo kidume atakayekuja kwangu kudai! NAMTAIFISHA

    Ilipimwa kipindi kilekile, walianza kupima hapo bongo na kwa hapo nchini utaratibu na Sheria ambayo haijaandikwa inayohusiana na majibu ya DNA, inataka sample ikipelekwa majibu lazima yawe positive ili kuepusha mtoto asije akakosa matunzo. Ikitokea baadaye baba wa mtoto akafariki halafu mama...
  4. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Ajabu na kweli: Marekani aimbia Iran ina saa 48 za kufanya makubaliano ya kufungua mfereji wa Hormuz

    Acha story za vilabuni hizo. Utasubiri sana US ku fail. US ilikuwa ifeli wakati ipo chini ya Democrat, siyo GOP. Halafu tatizo lenu mnaangalia padogo sana wakati kinachoendelea ni kikubwa na wanaoumia ni wengi kuliko Iran. Hata hao Iran sasa hivi wamebaki migambo wa Jiji, jeshi ni zilipendwa
  5. PakiJinja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtoto akizaliwa nyumbani kwangu ni wa kwangu, mama yake ataondoka ila mtoto atamwacha halafu nimjue huyo kidume atakayekuja kwangu kudai! NAMTAIFISHA

    Kama ni huyo jamaa mbona issue ilimtokea kitambo tu, ilikuwa tangu 2022 hadi aka delete picha za mtoto na mwanamke huko mitandaoni. Imekuwaje imeibuka tena kama issue mpya?
  6. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Binamu wa Solemani adakwa USA

    Taarifa yako ni baada ya kuonyeshwa hiyo picha kwenye vyanzo vyenu. Tuambie wewe sasa ulikuwa unamuongelea Mwanajeshi gani ‘mliyemkamata’?
  7. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Ajabu na kweli: Marekani aimbia Iran ina saa 48 za kufanya makubaliano ya kufungua mfereji wa Hormuz

    Hizo taarifa zako kiboko. Ubalozi upi uliolipuliwa? Kama asingekuwa na kambi middle east unashani Iran ungekuwa inapibdwa na kuchomwa kila siku kama kibaka aliyekamatwa Manzese au Mwananyamala? Kambi zote zipo functional
  8. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Ajabu na kweli: Marekani aimbia Iran ina saa 48 za kufanya makubaliano ya kufungua mfereji wa Hormuz

    Sasa hivi wana deal na Gorilla tu. Halafu kuiendeleza nako ni sehemu ya mkakati. Wewe ulivyoambiwa siku tatu ndiyo ukaondoka nayo? Taarifa mtapewa nyingi tu na hizo ni sehemu ya mbinu
  9. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Binamu wa Solemani adakwa USA

    Rubani gani huyo mliyemkamata? Mnaiongelea hii picha kutoka kwenye movie ya behind the enemy lines?
  10. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania NASA wamerudi tena Mwezini, na tayari picha za awali zimeanza kuachiwa — Je, Wale wabishi wa ‘Moon Hoax’ Bado Wataendelea Kubisha?

    Tafuta budget iliyotumika kipindi kile halafu ujue nini kilitokea. Wewe unafiki 4% ya US budget ni kitu kidogo? Tunaongelea $bilioni 400 ya kipindi kile
  11. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Ajabu na kweli: Marekani aimbia Iran ina saa 48 za kufanya makubaliano ya kufungua mfereji wa Hormuz

    Kwa resistance ipi waliyoifanya ukilinganisha na kujimwambafy kwao huku wakiwa na China na Russian intellugence support na silaha zao za ulinzi wa anga?
  12. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Profesa ananyenyekea uteuzi hivi, nini maana ya kuwa na PhD sasa?

    Hawa wawili hapo ndiyo wahusika walioandaa movie ya watu kuiibiwa sehemu za siri ili kuwahamisha watu kwenye mijadala
  13. PakiJinja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuwe makini, Wizi wa sehemu za siri za kiume "Penis snatching" umeingia Tanzania

    Mnajatibu kuwatoa watu kwenye reli ili wasijadili matukio muhimu ya nchi? Sehemu za siri unaibsje? Si wangewatumia malaya wanaojiuza?
  14. PakiJinja

    JamiiForums Tanzania Kamanda wa IRGC Kanali Ruhollah Minakhani naye kauawa usiku kuamkia leo!!!

    Tako mbiiilii walahuwakubali
Back
Top Bottom