Recent content by PakiJinja

  1. PakiJinja

    PostGE2025 Tito Magoti: John Heche anashikiliwa na Polisi Osterbay anahojiwa kwa UGAIDI

    Itaisha pale watakapotaka, Mahakama ni za kwao
  2. PakiJinja

    Huyu ndio mmiliki halisi wa Lake Oil

    Tunaomba picha ya mmiliki halisi wa GSM
  3. PakiJinja

    Dhambi ya JW imeandikwa kwa kalamu ya chuma

    Mpaka hapa nchi ipo uchi, akij8tokeza adui akaivamia ataonekana kama Mkombozi
  4. PakiJinja

    GE2025 Video: Tazama uchafu wa askari walivyopiga risasi kwa wananchi waliosimama tu barabarani

    JWTZ ni washenzi sana, sasa kama hapa walikuwa na sababu gani ya kuua raia
  5. PakiJinja

    Dhambi ya JW imeandikwa kwa kalamu ya chuma

    Day 1, JW walikuwa pamoja na Wananchi, baadaye waliondoka mitaani. waliporudi uraiani walirudi na silaha huku wakiwa wamevaa kiraia na ndiyo waliokuwa wanaua raia. Ile Day one walipojifanya wapo na wananchi walikuwa wanafanya situational assessment. Baada ya kuridhika kwamba nguvu ile ni...
  6. PakiJinja

    Dhambi ya JW imeandikwa kwa kalamu ya chuma

    Kuelekea maandamano kuna mtu aliwahi kuonya humu humu kwamba raia wasiwategemee kabisa JW, alisema hao jamaa wanaogopa Polisi kuliko raia wanavyowaogopa Polisi
  7. PakiJinja

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    Hawa wanatakiwa moja kwa moja wajibu kwa Wananchi. Damu zilizomwagika zipo juu yao. Tuendelee kuwatafuta popote walipo. Tumepoteza ndugu na askari wetu kwa ajili usengese wao wafenge hawa.
  8. PakiJinja

    Hamas wasalimu amri kuhusu kusitisha mkataba wa kubadirishana wafungwa

    Waliowachukua kwani hawajui pa kuwarudisha? Hamas wanatambua kuwa ni jukumu lao kuwarudisha
  9. PakiJinja

    Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

    Kwani uzungu ni kashfa au matusi?
  10. PakiJinja

    Dr Mpango: Sensa ya Watu na Makazi inaonyesha 77% ya Watanzania ni Vijana, Mimi Sasa nakwenda kuandika Vitabu vya kuisaidia Mama Tanzania!

    Sawa, na mimi nimeweka hapo nafasi lizoshika, ndiyo maana nimeuliza, alimsaudia nani? Kwa mujibu wa mleta mada inaonekana kupitia kuandika vitabu ndiyo anaamini atamsaidia mtanzania.
Back
Top Bottom