Day 1, JW walikuwa pamoja na Wananchi, baadaye waliondoka mitaani. waliporudi uraiani walirudi na silaha huku wakiwa wamevaa kiraia na ndiyo waliokuwa wanaua raia.
Ile Day one walipojifanya wapo na wananchi walikuwa wanafanya situational assessment. Baada ya kuridhika kwamba nguvu ile ni...
Kuelekea maandamano kuna mtu aliwahi kuonya humu humu kwamba raia wasiwategemee kabisa JW, alisema hao jamaa wanaogopa Polisi kuliko raia wanavyowaogopa Polisi
Hawa wanatakiwa moja kwa moja wajibu kwa Wananchi.
Damu zilizomwagika zipo juu yao. Tuendelee kuwatafuta popote walipo.
Tumepoteza ndugu na askari wetu kwa ajili usengese wao wafenge hawa.
Sawa, na mimi nimeweka hapo nafasi lizoshika, ndiyo maana nimeuliza, alimsaudia nani? Kwa mujibu wa mleta mada inaonekana kupitia kuandika vitabu ndiyo anaamini atamsaidia mtanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.