Toka juzi nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini ya mbavu kushoto mwenye kujua dawa au tiba anisaidie jamani naandika nikiwa nimelala kitandani plz
Habari za muda,
Niende kwenye kuonba msahada mtoto wangu kwa sasa ana umri wa miaka 3 ila kuna hali inayo mtokea nimeshidwa kutambua nini naomba kufahaam mtoto kucha tembea uku akichapia mguu mmoja ambao ni wakulia mwanzo niliona labda atakuwa ameumia kwa michezo ikapita miez kama miwili akawa...
Mh kwa kweli mm nimeoa miaka 9 uliyo pita,na kusema ukweli Nina mchepuko mwembamba Sana pia sura dah we acha tu Ila Sasa usiongee kuhusu k yake unaweza kurudia ATA raundi kumi ni nzuri sana na pia Sina mpango wa kuachana nae kisa sura ntavumilia tu
Nilipata ajali miaka 4 iliyopita ya mguu sehemu ya goti ilipelekea ni fanyiwe upasuaji mkubwa maana na kumbuka nilipigwa nusu kaputi kwenye mida ya saa 1 asubuhi Ila kuja kuzinduka ulikuwa saa mbili usiku hapo muhimbili,point ni kweli ukikaa na ichi chuma mda mrefu Nini athari zake?
Baada ya mimba ya kwanza kufanyiwa operation ni kama 4yr, na sasa yuko na mimba ya miezi mi nane tatizo lina kuja hapa kwenye mshono wa operation upata maumivu yasio elezeka wakati wa kusimama ni makali sana inapelekea kuna wakati niwe kama nalishika tumbo lake kwa chini ivi kama na msaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.