#COVID19 Mapambano dhidi ya COVID-19: Rais Samia anayo dhamira ya kweli? Kinachoendelea India kinatisha

Wabongo namna tuna laana ya aina fulani. Ila uzuri (japo inasikitisha) ni kuwa yule aliyekuwa analisha watu ujinga wa nyungu alishindwa kuitumia hiyo nyungu alipougua.
Na viwanja vya ndege ni hatari sana sana nashangaa bongo ile hawazingatii barakoa wala sanitizer wakati wanapokea wageni tena kutoka kwenye Nchi hatarishi Brazil,India,UK hata SA pia...
 
Comment yako haionyeshi kama umeelewa vizuri.
Naelewa uzuri tu.

Na nimeuliza, je mbona sisi tulikuwa na mikusanyiko mwezi March na hatuna taarifa zozote za wagonjwa wapya waloambukizwa?

Pia leo maelfu ya watu walijazana CCM Kirumba Mwanza kwenye sherehe za Mei Mosi hivyo twangojea data baada ya wiki moja au mbili.

India wamefanya sana mikutano ya kisiasa, tamasha la Kumbh Mela na maandamanio ya wakulima na leo watu milioni 19.1 wameambukizwa na 211, 043 wamekufa.

Unisome uzuri unielewe.
 
Daah huku usipovaa barakoa unaweza kwenda jela mpaka kesho kuingia duka lolote lazima unapewa sanitizer inasaidia sana sana na mambo ya social distance yanasaidia mno na viwanjani washabiki hawaendi ila bongo kila kitu wanachukulia poa tuu..
Wapi huko!?

Tz wangeiga huo utaratibu.
 
Naam,ndo maana watanzania wengi wamepukutika sana, inakadiriwa kuwa takribani watanzania milioni 36 wamekwenda kwa korona.
Sasa waanza uzushi.

Hizi taarifa za vifo vya Covid-19 watu milioni 36 umezitoa wapi?
 
Wabongo namna tuna laana ya aina fulani. Ila uzuri (japo inasikitisha) ni kuwa yule aliyekuwa analisha watu ujinga wa nyungu alishindwa kuitumia hiyo nyungu alipougua.
Hivi kwanini mnalazimisha kuwa Magufuli alikufa kwa corona? Mlikuwa mnasema ameshachanja chanjo ya china na ndio maana anaidharau corona havai barakoa ila alivyokifa mnasema kafa na corona et kisa aliidhairau. Sasa tena wengine wameanza kusema Mama samia atakuwa ameshachanja chanjo ya corona.

Kweli nimekinali watanzania mnalaaana ya kiwango cha Jobo.
 
Hivi kwanini mnalazimisha kuwa Magufuli alikufa kwa corona? Mlikuwa mnasema ameshachanja chanjo ya china na ndio maana anaidharau corona havai barakoa ila alivyokifa mnasema kafa na corona et kisa aliidhairau. Sasa tena wengine wameanza kusema Mama samia atakuwa ameshachanja chanjo ya corona.

Kweli nimekinali watanzania mnalaaana ya kiwango cha Jobo.
Nani alisema alikuwa amechanja? Asingeweza kuchanja kwani alikuwa anasema chanjo zina corona. Kusema kafa kwa corona siyo kulazimisha bali ni kusema ukweli.
 
Naelewa uzuri tu.

Na nimeuliza, je mbona sisi tulikuwa na mikusanyiko mwezi March na hatuna taarifa zozote za wagonjwa wapya waloambukizwa?

Pia leo maelfu ya watu walijazana CCM Kirumba Mwanza kwenye sherehe za Mei Mosi hivyo twangojea data baada ya wiki moja au mbili.

India wamefanya sana mikutano ya kisiasa, tamasha la Kumbh Mela na maandamanio ya wakulima na leo watu milioni 19.1 wameambukizwa na 211, 043 wamekufa.

Unisome uzuri unielewe.
Siyo kila wakati mikusanyiko itasababisha maambukizo. Inategemea kama kwenye mikusanyiko kulikuwa na watu wenye virus. The general rule ni kuwa mikusanyiko ni hatari iwapo kuana watu wenye maambukizo. Sasa kwa sababu ni vigumu kuwajua watu wenye virus kwa macho basi ni vizuri kuepuka mikusanyiko kwa muda. Hata Tanzania sasa hali imetulia lakini hii haina maana kuwa tuko salama. Inaweza kulipuka tena na inaweza kuwa mbaya zaidi.
 
Nakumbuka sana ulivyokuwa unamsifia Magu na sera zake za porini za covid. Uliwazodoa sana CHADEMA walipokuwa wanasisitiza standard measures ambazo umezigusia. Nini kimebadilika mkuu? Si ingefaa sera za nyingi ziendelee?
Hata Magu alipowazodoa wanaovaa Barakoa na kutamba kwamba yeye na wasaidizi wake, mkaona ni poa tu. Vipi tena?
Nilimsifia Magufuli kwa mambo matatu [kuhusu corona].

1. Consistency [bila kujali matokeo].

2. Kutenda kama alivyokuwa akisema.

3. Kutokuwafungia watu ndani [‘rockdown’].

CHADEMA, Zitto, na wenzao niliwazodoa kwa kutokuyatenda waliyokuwa wanayahubiri hususan mitandaoni.

Hao jamaa zako walikuwa wanachonga madomo yao ili wajipatie pointi za kisiasa tu.

Tundu Lissu alirudi nchini kavaa barakoa. Baada ya kutoka tu uwanja wa ndege akaivua na kuitupilia mbali hiyo barakoa!

Uongo?

Tokea hapo, akiwa Tanzania sikumwona tena akiwa amevaa barakoa wala kuzingatia tahadhari zingine kama kuepuka misongamano.

Alizurura nchi nzima akipiga kampeni zake za urais bila kuvaa barakoa! Hakuepuka misongamano. Alishikana mikono na watu.

Waone hapa Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na huyo aitwaye au ajiitaye Shangazi [Fatma Karume] wakiwa kwenye mkutano wa ACT.



Hakuna cha barakoa. Hakuna kuachiana nafasi. Hakuna kutokushikana mikono. Hakuna kutokukumbatiana.

Hao ndo watu waliokuwa mstari wa mbele kumnanga Rais Magufuli kwa kuipuuzia corona ilhali wao wenyewe hawachukui hata hizo tahadhari za msingi za kujikinga.

Sasa nije kwa huyu Rais Samia.

Keshasema kuwa keshaunda sijui ni kamati ile au sijui ni tume na alituambia ishaanza kufanya kazi.

Kama anakubali kuwa corona ipo kiasi mpaka cha kuiundia tume, inakuwaje sasa yeye mwenyewe kama kiongozi wa nchi asionyeshe mfano kwa matendo katika walau uzingatiaji wa zile tahadhari tu za msingi kama kuvaa barakoa na kuepuka misongamano na mirundikano ya watu?

Wewe huoni kama matendo yake hayaendani na maneno yake kama ilivyokuwa kwa hao rafiki zako wa CHADEMA?

Kwa mara kwanza mimi nimemwona kavaa barakoa alipoenda Uganda ile majuzi. Aliporudi akaitupilia mbali na sijamwona tena akiwa kaivaa.

Nimeona sehemu kuwa ataenda Kenya hivi karibuni. Akiwa huko nadhani ataivaa tena.

Mpende Magufuli au umchukie, jambo ambalo huwezi kusema ni maneno yake hayakuendana na matendo yake, ni hili la corona.

Rais Samia na hao rafiki zako wa CHADEMA, matendo yao na maneno yao kuhusu corona, hayaendani!

NB: Kuhusu Magufuli kuwazodoa waliokuwa wanavaa barakoa, ukweli ni kwamba nilisema, na siyo mara moja, kwamba anakosea. He was mask-shaming people. I called him out on it numerous times. Fact.

Don’t half-step when you come at me. Come correct, lest I’ll leave you in the dirt.
 
Hivi ni kweli kabisa Rais Samia ana nia ya kweli ya kupambana na COVID-19?

Sijui kama na nyie mnafuatilia yanayoendelea huko India sasa hivi!

Akina Narendra Modi walikuwa huko West Bengal wanapiga kampeni za kisiasa utadhani hamna kesho. Ona sasa kilivyoumana.

Sasa kweli hiyo kamati aliyoiunda Rais Samia ili imshauri kuhusu corona ndo imemwambia kwamba ni sawa tu watu kwenda na kurundikana hapo uwanja wa Kirumba namna hiyo?

Ona hata hapo walipokaa hao viongozi! Hakuna social distancing. Hakuna barakoa. Hakuna tahadhari yoyote ile ya maana.

Hahahaaaaa…..what is this?

View attachment 1769853
Kwani rais Samia alisema lini kama tanzania kuna covid-19? Rais Samia alikuwa makamo wa rais katika serikali iliyotujulisha kuwa hakuna covid-19 tanzania, na hadi sasa amekuwa rais hakusema kama covid ilikuwepo tanzania au covid imeingia tanzania sasa. Usiwe na wasi wasi mtanzania mwenzangu tanzania virusi vya covid haviwezi kustahamili juto la tanzania na ndio maana hakuna kesi zozote zile, ila upo ugonjwa mmoja ambao haupo nchi nyengine yeyote ile, ugonjwa wenyewe ni ugonjwa wa kupumua.
 
Kwani rais Samia alisema lini kama tanzania kuna covid-19? Rais Samia alikuwa makamo wa rais katika serikali iliyotujulisha kuwa hakuna covid-19 tanzania, na hadi sasa amekuwa rais hakusema kama covid ilikuwepo tanzania au covid imeingia tanzania sasa. Usiwe na wasi wasi mtanzania mwenzangu tanzania virusi vya covid haviwezi kustahamili juto la tanzania na ndio maana hakuna kesi zozote zile, ila upo ugonjwa mmoja ambao haupo nchi nyengine yeyote ile, ugonjwa wenyewe ni ugonjwa wa kupumua.
Sasa kwa nini kaunda tume ya corona?
 
Sasa kwa nini kaunda tume ya corona?
Suali zuri sana! jibu ni kuwa hii yote ni changa la moto tu. Kwa mimi naaona kuwa huyu bado haamini kuwa tanzania corona ipo. Pia anajaribu kujinasua nasua katika nyavu maana serikali aliyokuwa kiongozi wa pili ndio iliyokana, hence nae alikana kuwepo corana tanzania sasa anatafuta namna ya kuepuka kuitwa mnafiki.
 
Suali zuri sana! jibu ni kuwa hii yote ni changa la moto tu. Kwa mimi naaona kuwa huyu bado haamini kuwa tanzania corona ipo. Pia anajaribu kujinasua nasua katika nyavu maana serikali aliyokuwa kiongozi wa pili ndio iliyokana, hence nae alikana kuwepo corana tanzania sasa anatafuta namna ya kuepuka kuitwa mnafiki.
Anataka kuridhisha watu wote naona…
 
Nani alisema alikuwa amechanja? Asingeweza kuchanja kwani alikuwa anasema chanjo zina corona. Kusema kafa kwa corona siyo kulazimisha bali ni kusema ukweli.
Ni humu humu watu walisema kuwa Jiwe alishachanja chanjo ya corona na wewe pia kupitia humu humu unasema alikufa kwa corona, sasa hapo nani anasema ukweli na nani anasema uongo?
 
Sasa waanza uzushi.

Hizi taarifa za vifo vya Covid-19 watu milioni 36 umezitoa wapi?
Ahahahahah, Antimagu ndo wamenijuza, usichukulie siriasi mwamba, ni kwamba, korona ya media sio korona halisi, ndicho nilichomaanisha
 
Sasa waanza uzushi.

Hizi taarifa za vifo vya Covid-19 watu milioni 36 umezitoa wapi?
Picha kutoka Uhindi wiki hii. Kweli, si milioni.
1619909243978.png
 
Nilimsifia Magufuli kwa mambo matatu [kuhusu corona].

1. Consistency [bila kujali matokeo].

2. Kutenda kama alivyokuwa akisema.

3. Kutokuwafungia watu ndani [‘rockdown’].

CHADEMA, Zitto, na wenzao niliwazodoa kwa kutokuyatenda waliyokuwa wanayahubiri hususan mitandaoni.

Hao jamaa zako walikuwa wanachonga madomo yao ili wajipatie pointi za kisiasa tu.

Tundu Lissu alirudi nchini kavaa barakoa. Baada ya kutoka tu uwanja wa ndege akaivua na kuitupilia mbali hiyo barakoa!

Uongo?

Tokea hapo, akiwa Tanzania sikumwona tena akiwa amevaa barakoa wala kuzingatia tahadhari zingine kama kuepuka misongamano.

Alizurura nchi nzima akipiga kampeni zake za urais bila kuvaa barakoa! Hakuepuka misongamano. Alishikana mikono na watu.

Waone hapa Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na huyo aitwaye au ajiitaye Shangazi [Fatma Karume] wakiwa kwenye mkutano wa ACT.



Hakuna cha barakoa. Hakuna kuachiana nafasi. Hakuna kutokushikana mikono. Hakuna kutokukumbatiana.

Hao ndo watu waliokuwa mstari wa mbele kumnanga Rais Magufuli kwa kuipuuzia corona ilhali wao wenyewe hawachukui hata hizo tahadhari za msingi za kujikinga.

Sasa nije kwa huyu Rais Samia.

Keshasema kuwa keshaunda sijui ni kamati ile au sijui ni tume na alituambia ishaanza kufanya kazi.

Kama anakubali kuwa corona ipo kiasi mpaka cha kuiundia tume, inakuwaje sasa yeye mwenyewe kama kiongozi wa nchi asionyeshe mfano kwa matendo katika walau uzingatiaji wa zile tahadhari tu za msingi kama kuvaa barakoa na kuepuka misongamano na mirundikano ya watu?

Wewe huoni kama matendo yake hayaendani na maneno yake kama ilivyokuwa kwa hao rafiki zako wa CHADEMA?

Kwa mara kwanza mimi nimemwona kavaa barakoa alipoenda Uganda ile majuzi. Aliporudi akaitupilia mbali na sijamwona tena akiwa kaivaa.

Nimeona sehemu kuwa ataenda Kenya hivi karibuni. Akiwa huko nadhani ataivaa tena.

Mpende Magufuli au umchukie, jambo ambalo huwezi kusema ni maneno yake hayakuendana na matendo yake, ni hili la corona.

Rais Samia na hao rafiki zako wa CHADEMA, matendo yao na maneno yao kuhusu corona, hayaendani!

NB: Kuhusu Magufuli kuwazodoa waliokuwa wanavaa barakoa, ukweli ni kwamba nilisema, na siyo mara moja, kwamba anakosea. He was mask-shaming people. I called him out on it numerous times. Fact.

Don’t half-step when you come at me. Come correct, lest I’ll leave you in the dirt.

Nakushukuru sana kwa "kuengage", napenda discussions aina hii.
Ni kweli Magufuli alikuwa consistent BILA KUJALI MATOKEO, katika yale aliyoamini, kama vile Hitler alivyokuwa consistent, to the destructive conclusion: I FOLLOW MY COURSE WITH THE PRECISION AND SECURITY OF A SLEEPWALKER - msemo wa Hitler. Sasa unamsifia vipi kwa consistence ya aina hiyo?

Katika kuzodoa wavaa Barakoa, Magufuli alikuwa pia consistent with himself, na kuwaacha Solemba the likes of you na Mwanakijiji. Magufuli hakutarajia any criticism, alitarajia kusifiwa na kuabudiwa, ndio maana effectively alipiga marufuku vyama vya upinzani, no free press, na ku convert chama cha Mapinduzi kuwa chama cha Magufuli.

Kwa hiyo kama ulijiunga na club ya akina polepole na Ndugai, how INCONSISTENT of you kumkosoa asiyekosea?

Magufuli alikuwa very consistent katika sera zake kuhusu korona. Kudisdain scientific approach kwa ujumla, akijitengenezea IMANI KALI ambayo yeye mwenyewe ndio Askofu, alidiriki kuwalecture Maaskofu na mashehe, ambao mwanzoni, kipindi Kardinali Pengo akiwa madarakani, alifaulu sana kuwayumbisha. No more kipindi cha akina Ruwaichi na Katibu Mkuu wa TEC Dr. Kitima. Kumbuka mtangulizi wa Dr. Kitima alifurushwa kwa kile kibao maarufu cha URAIA.
Asiyekuwa consistent ni wewe mwenyewe.

Kuhusu CHADEMA, "rafiki zangu" walidhihirisha kwa vitendo kwa kujitenga na Bunge kwa muda tayari kwa any consequences. Wala hawakuhubiri lockdown, ambayo haijawahi kutokea Tanzania. Pale mwanzo serikali ilikuwa na taratibu nzuri sana: abiria kukaa kwenye siti tu, Barakoa, kunawa. Kwamba kuna wakati hawavai Barakoa, siyo ishu. Ishu ni serikali kutimiza wajibu wake kama walivyofanya phase one. Serikali kuhiimiza uvaaji Barakoa is very powerful AND Effective. Mbona hata Biden kuna wakati anavaa Barakoa na kuna wakati havai?

Samia. Ni Politician mzuri. Hadhira yake sasa ni wanaccm. Baada ya kuukwaa uenyekiti, ataanza kuassert msimamo wake, hopefully as we go along. Tumpe muda. She is intelligent, sio kama Magu, for sure. Tutajadili kuhusu hiyo tume baadae.
Karibu!
 
Nakushukuru sana kwa "kuengage", napenda discussions aina hii.
Ni kweli Magufuli alikuwa consistent BILA KUJALI MATOKEO, katika yale aliyoamini, kama vile Hitler alivyokuwa consistent, to the destructive conclusion: I FOLLOW MY COURSE WITH THE PRECISION AND SECURITY OF A SLEEPWALKER - msemo wa Hitler. Sasa unamsifia vipi kwa consistence ya aina hiyo?
Namsifia kwa sababu walau nilijua kuwa msimamo wake wa maneno unaendana na matendo yake.

He didn’t proffer useless double-talk like how your CHADEMA friends did.

I appreciate honesty. And me appreciating honesty doesn’t necessarily mean that I co-sign with the message, either.

Honesty lets me know when one stands and from there I can make my own decision.

My mind is capable of processing such nuance. I don’t know about you…

Katika kuzodoa wavaa Barakoa, Magufuli alikuwa pia consistent with himself, na kuwaacha Solemba the likes of you na Mwanakijiji. Magufuli hakutarajia any criticism, alitarajia kusifiwa na kuabudiwa, ndio maana effectively alipiga marufuku vyama vya upinzani, no free press, na ku convert chama cha Mapinduzi kuwa chama cha Magufuli.


Huh? What? Hata hueleweki!! Mimi aliniacha solemba kivipi?

I am my own man with an independent mind.

I am the one who said no one is above criticism and no one is below praise. Meaning that anyone can get it.

Na ndo maana kuna mambo mengi tu humu mimi nilitofautiana na Magufuli. Mfano; kukataa kuwasomesha watoto wa kike waliopata ujauzito shuleni, kuendelea kumfumbia macho Paul Makonda, kuteua na kutengua watu kupitia vyombo vya habari bila ya kuwataarifu wahusika, kumwondoa balozi Mahiga kutoka wizara ya mambo ya nje na kumweka Kabudi, kauli zake zisizokuwa za staha ya urais, na mengineyo mengi ambayo ushahidi wake upo humu JF kimaandishi.

Sasa unapoongelea eti aliniacha solemba, sijui kabisa unachokimaanisha maana sikuwa na mkataba naye wala makubaliano yoyote yale.

Katika utawala wake na kama ilivyo jadi yangu, mimi nilikuwa na independent mind.

Nilipoona anakosea, nilisema. Nilipoona anapatia, nilisema. Na ushahidi wa hayo, upo hapa JF.

Kwa hiyo kama ulijiunga na club ya akina polepole na Ndugai, how INCONSISTENT of you kumkosoa asiyekosea?
Unasadiki!
Nishakwambia kwamba I am my own person. Sina club na wala sikujiunga na club ya akina Polepole na Ndugai.
Don’t assume things. When you do that, you make an ass of yourself.
Magufuli alikuwa very consistent katika sera zake kuhusu korona. Kudisdain scientific approach kwa ujumla, akijitengenezea IMANI KALI ambayo yeye mwenyewe ndio Askofu, alidiriki kuwalecture Maaskofu na mashehe, ambao mwanzoni, kipindi Kardinali Pengo akiwa madarakani, alifaulu sana kuwayumbisha. No more kipindi cha akina Ruwaichi na Katibu Mkuu wa TEC Dr. Kitima. Kumbuka mtangulizi wa Dr. Kitima alifurushwa kwa kile kibao maarufu cha URAIA.
Okay. Unarudia tayari ambacho nimeshakisema!
Asiyekuwa consistent ni wewe mwenyewe.
How?
Kuhusu CHADEMA, "rafiki zangu" walidhihirisha kwa vitendo kwa kujitenga na Bunge kwa muda tayari kwa any consequences.
🤣🤣🤣

Seriously dude? That is weak as fcuk!

Hao washikaji zako si ndo waliondoka bungeni halafu baadaye wakarudi wenyewe? Au nakosea?

Kama waliondoka kwa sababu ya corona, kilichowarudisha bungeni kilikuwa nini sasa? Kuisha kwa corona?

You are such a lightweight!

Hao jamaa zako ndo wa kuwatolea mfano kweli?

Watu ambao baada ya kutoroka bungeni na baadaye kurudi wenyewe halafu wakaanza kupiga kampeni nchi nzima, ndo unawatolea mfano kuwa walidhihirisha kwa vitendo kupambana na corona?

F outta here with your bullshit.


Wala hawakuhubiri lockdown, ambayo haijawahi kutokea Tanzania. Pale mwanzo serikali ilikuwa na taratibu nzuri sana: abiria kukaa kwenye siti tu, Barakoa, kunawa. Kwamba kuna wakati hawavai Barakoa, siyo ishu. Ishu ni serikali kutimiza wajibu wake kama walivyofanya phase one. Serikali kuhiimiza uvaaji Barakoa is very powerful AND Effective. Mbona hata Biden kuna wakati anavaa Barakoa na kuna wakati havai?
What the hell is your point here?
Samia. Ni Politician mzuri. Hadhira yake sasa ni wanaccm. Baada ya kuukwaa uenyekiti, ataanza kuassert msimamo wake, hopefully as we go along. Tumpe muda. She is intelligent, sio kama Magu, for sure. Tutajadili kuhusu hiyo tume baadae.
Karibu!
Kwamba Samia ni mwanasiasa mzuri? Sidhani…but, the jury is still out so we shall see.
 
Back
Top Bottom