Ooooh sis arsenal tukibeba ubingwa utaona ,dunia nzima itatetemeka .....tunamashabiki wengi sana ....kummmmmke siku ya pili sasa tumeshasahau hata yao hayajui yanafanya nini mamamaeeeeeee h
Hii time hata ikichukua epl huna cha kulingishia kwa timu kubwa kama man city ,man utd ,chelsea ,Liverpool, astonvilla .....sababu huna uefa, club world cup ,super cup ......very small team inayobweka tu 😄 🤣
Huawezi kuaamini kudadeki hii timu imechukua ubingwa jana, hakuna mtu anayejali,....et yanasema ni timu kubwa.......watu wako busy na world cup cursed club ever hahaaaa
Raha ya kuzaa watoto ni pale tu utakapokuwa na uwezo wa kuwahudumia ila kama ni masikini choka mbaya hata ukizaa utakufa mpweke tu, watoto watakuona kama jinga....huna cha kuwarithisha....wataenda hata kwa mganga kukuroga sababu umewaleta duniani kuteseka..., hata nyumbani watapakimbia kwenda...
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atlético agree on fee with City for Álvarez and send contract proposal! 🔴⚪️🕸️
Manchester City have informed Atléti that they accept €75m fixed fee plus €20m bid for Julián, up to €𝟗𝟓𝐦.
Julián to be authorized for medical tests as soon as Atlético Madrid will reach agreement on his...
Wakuu hili swala limekaaje na itakuaje huko mbele ...
Unakuta chuo nimesoma "bachelor of science with education " ndio degree yangu masomo yalikuwa chemistry na biology lakin ajira portal nikijaza hio kozi mfumo unakataa kabisa ....ila nikijaza hii bachelor of education (chemistry and biology)...
Wakuu Kwa wazoefu WA kuomba Kazi ajira portal ,....
Kipi Bora katika barua ya maombi ,kutumia kiswahili au kiingereza ....?
Tulikuwa tushazoe mfumo wetu WA oteas uliokuwa unatuambia kabisa tuandike barua Kwa mkono Tena ya kiswahili ...
Mitihani yao inakauje mkuu ,kama mwalimu WA hesabu wanauliza maswali ya kawaida(kisiasa ,kiuchumi na kijamii) au Wana base kwenye somo kabisa topic zilizomo kwenye somo ...mfano mathematics unaweza kutana na maswali ya integration,set , differentiation, , logarithmic,quadratic...
Sio kwamba kuandika barua hawawezi ,Ni maumivu ya kisaikolojia ya kuhusu labda unakosea barua baada ya kutuma maombi ya Kazi Zaidi ya Mara 100 Bila kupata ...sasa Ile hofu na kujiamin kunapotea unaanza kuwa unauliza hadi vitu vidogo ambavyo wengine wanakuona kama mjinga ....
Hii Hali kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.