Recent content by Pain killer

  1. Pain killer

    Wale mliofanikisha interview ya kwanza mkatoboa written na oral na placement karibuni hapa

    Mfumo wa maswali unajikita kwenye nini hasa .. Module za chuo tulizosoma kutokana na kozi ?
  2. Pain killer

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Waoooo .,. 80m ya kununua new midifilder hio ...
  3. Pain killer

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atlético agree on fee with City for Álvarez and send contract proposal! 🔴⚪️🕸️ Manchester City have informed Atléti that they accept €75m fixed fee plus €20m bid for Julián, up to €𝟗𝟓𝐦. Julián to be authorized for medical tests as soon as Atlético Madrid will reach agreement on his...
  4. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Wanaofanya application wanaelewa Hilo tatizo mkuu , sijajua Kwa waliokwisha kutana na hio changamoto huko mbele walifanyaje
  5. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Wakuu hili swala limekaaje na itakuaje huko mbele ... Unakuta chuo nimesoma "bachelor of science with education " ndio degree yangu masomo yalikuwa chemistry na biology lakin ajira portal nikijaza hio kozi mfumo unakataa kabisa ....ila nikijaza hii bachelor of education (chemistry and biology)...
  6. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Tayari nishatuma maombi ,natafuna popcorn hapa na juisi ya tende kusubili pdf ya kupangiwa Kazi🔥🔥😂 Mama Samia oyeeeee
  7. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Wakuu Kwa wazoefu WA kuomba Kazi ajira portal ,.... Kipi Bora katika barua ya maombi ,kutumia kiswahili au kiingereza ....? Tulikuwa tushazoe mfumo wetu WA oteas uliokuwa unatuambia kabisa tuandike barua Kwa mkono Tena ya kiswahili ...
  8. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Mitihani yao inakauje mkuu ,kama mwalimu WA hesabu wanauliza maswali ya kawaida(kisiasa ,kiuchumi na kijamii) au Wana base kwenye somo kabisa topic zilizomo kwenye somo ...mfano mathematics unaweza kutana na maswali ya integration,set , differentiation, , logarithmic,quadratic...
  9. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Sio kwamba kuandika barua hawawezi ,Ni maumivu ya kisaikolojia ya kuhusu labda unakosea barua baada ya kutuma maombi ya Kazi Zaidi ya Mara 100 Bila kupata ...sasa Ile hofu na kujiamin kunapotea unaanza kuwa unauliza hadi vitu vidogo ambavyo wengine wanakuona kama mjinga .... Hii Hali kama...
  10. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Wakuu hivi kuedit inakubali , application failed Ni nyingi na nimegundua Ni kozi niliyoweka ndio tatizo ....
  11. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Hizo interview zote utazifanya Kwa pamoja ?
  12. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Wakuu majina kwenye vyetu vya taaluma Ni mawili ila kwenye NIDA ambayo nimetumia kufungua account ajira portal Ni matatu...hapa hii changamoto inakauje ,Kwa aliyekutana nayo akabahatika kuitwa kwenye hata usaili huko ajira portal huwa wanachukua majina yapi matatu au mawili tu ?
  13. Pain killer

    Nimeshindwa kushabikia mpira wa Tanzania

    Picha linaanza lazima ushabikie Simba au Yanga ... Tanzania Hakuna mpira ,hata mashabiki Ni glory hunter tu .... Ndio maana wanashabikia timu mbili tu zinazoshinda ,mbaya Zaidi hidi kiongozi WA nchi ambao wanamiliki club zingine ,unakuta wanapenda hizo timu🤔😂... MTU anamiliki singida united...
  14. Pain killer

    Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Bila gpa ya 3.5 and above nasikia "application failed " unakutana nayooo🤔
Back
Top Bottom