Katiba na sheria ya vyama vya siasa hairuhusu chama cha kikabila na ukanda. Kama kipo Serikali yenu inasubiria nini kukifuta ?? Ndio maana kipaumbele chetu cha kwanza kwenye ilani yetu ( CDM) ni Elimu, mnajichanganya sana na CCM inatumia ujinga wenu kutawala.
Nje ya mada kabisa. Kama dola mnayo kwanini msiwakamate hao mafisadi na kuwapeleka mahakamani. Kila siku mnalialia humu JF kuna mafisadi. Kama sio dhaifu ni nini????
acha uongo el ameondolewa wapi??? Kama uanachama wa ccm kajivua mwenyewe. Kama ni fisadi nyie ndio wenye serikali kwanini hamjamkamata na kumpeleka mahakamani??? Jeshi, polisi, mahakama vyote mnavyo mnaishia kulalamika tuu!!!!!!
naona unajitoa ufahamu kub (kambi ya upinzani bungeni) sio serikali. Kazi yake ni upinzani na siasa. Mikutano ya siasa ndo upinzani wenyewe na wanapewa ruzuku kwa kazi ya siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.