jiulize kubenea kanunuliwa, mbona kaacha kuandika makala za kumnanga (kumsema vibaya) fisadi papa EL. hamuoni kama kalisaliti taifa, na kikubwa zaidi kaisaliti taaluma, kwa kumnadi yule aliyo mwita fisad?
ashkum c matuc, nashindwa kuelewa akili za ndugu zangu wa ukawa hasa chagga development manifesto, hivi,hawa jamaa waa vichwa vya kuku ama wamerogwa? wanabeba zigo la ushuzi huu wakijinadi at wamebeba marashi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.