Sijui kipindi cha Kalemani hizi maitanance hazikuwepo?.... sijui Dr. Kalemani alikuwa anatumia ujuzi gani kuhakikisha umeme haukatiki mara kwa mara.
But, matatizo makubwa Mimi kwa upande wangu ni mawili.
1. Ujuaji wa waziri aliyepo sasa
2. Huwezi kuingia kwenye shirika afu unafumua management...
Ni siku ya pili sasa kuna tatizo kubwa ya Luku. either kwa kununua kwa njia ya mitandao ama kwa wakala wao.
Waziri mpya tulijua umeingia kuongeza kasi kumbe mambo ni yale yale...
Rais Samia Suluhu alianza vizuri katika siku zake 100. Baada ya kuanza kukandamiza haki za binadamu, kukubali kudanganywa na wakina Siro kuhusu kesi ya ugaidi wa Mbowe, kuanza kusema uongo, kuanza kuvimba kichwa, hapo ndipo alipoanza kujiharibia sifa zake kama kiongozi wa nchi.
Kwa lililotokea...
Wizara ya Viwanda na Biashara apart from Dr. Abdalla Kigoda, Na Dr. Chami ni wazi haijapata mtu sahihi. Hasa awamu ya tano na sita. Kwa awamu ya tano, Mh. Mwijage zile kelele zake za kuanziasha viwanda alionekana bora. ila baada ya hapo wizara haijapata mtu sahihi na makini kabisa.
Prof...
Labda wengine mnajua, ila binafsi tunashindwa kuelewa nchi inaelekea wapi. To be honest, licha ya mapungufu yake kama Rais JPM nchi ilikuwa na direction. JPM alifanikiwa kuweka direction ya nchi ikiwa ni pamoja na mkazo katika sector kadhaa ambazo alizisimamia ipasavyo.
Ila sasa sijui nchi...
Popote ulipo Hayati Rais Magufuli, tusamehe... uliwahi kusema tutakukumbuka tukajua ni utani. Ila leo ni dhahiri tutakukumbuka.
Baba toka umetuacha mpaka sasa watoa huduma wala wakandarasi wale wakubwa na wadogo. wa nje ama wa ndani hawajalipwa..
Baba ulikuwa unapata wapi fedha za kuendesha...
Ni muda sasa mkeka wa Ma-DED unasubiriwa ili mambo yaende huku Wilayani na kwenye Halmashauri. Kila kitu almost kimesimama.
Wengi wao hawana uhakika, hivyo hawashindi vituoni bali wanaenda Dodoma kila mara. Nilikuja kufatilia mambo fulani katika moja ya Wilaya "Mkoa kanda ya ziwa" ni wiki ya 3...
WANAOTAJWA KURITHI MIKOBA YA Katibu Mkuu UVCCM TAIFA (SG) Raymond Mangwala
Baada ya uteuzi wa viongozi wakuu wa UVCCM - Taifa kupewa UDC. Chombo hicho kimebaki bila uongozi wa juu. Ukiachilia suala la Mwenyekiti wake Kheri James ambaye alichaguliwa kwa kura kupitia Mkutano mkuu, UVCCM kwa sasa...
Ebu achenu u.ji.nga PolepOle yupi?... huyu huyu Pole Pole wa ovyo, ndio mnataka aingie kwenye Baraza?...
Yeye na Bashiru wale ela tu za bure hii miaka 5. Ndio mwisho wao wa kisiasa. We will Never see or hear them after 2025...
Nasikia anataka jimbo la Segerea. Haibu ambayo atapata itakuwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.