Recent content by pagalwema

  1. P

    Shamba linauzwa heka 60 lipo msata

    Namanisha kama unahitaji namba yangu hiyo 0659891515 piga tufanye biashara sio lazima uchukue hata 10 kuendelea inafaa
  2. P

    Shamba linauzwa heka 60 lipo msata

    Namba yangu hii 0659891515 piga niulize chochote unachohofia nakuondoa shaka
  3. P

    Shamba linauzwa heka 60 lipo msata

    Mkono umeteleza ni 350,000
  4. P

    Shamba linauzwa heka 60 lipo msata

    Labda heka 5 tufanye biashara
  5. P

    Shamba linauzwa heka 60 lipo msata

    Yaah msata mashambani sio mjini
  6. P

    Shamba linauzwa heka 60 lipo msata

    Shamba Lina ukubwa wa heka 60 lipo msata umbali kilometers 3 kutoka balabala ya lami msata bagamoyo Lina nyumba ya tofali vyumba 2 bei 350,000 wa Kila heka Kwa mawasiliano 0659891515
  7. P

    Mimi ni Mdau wa CHADEMA niliyemuelewa Rais Samia

    Kuna tukio la tozo na lawama kwa rais wa jamuhuri ya Tanzania Samia Suluhu. Kiukweli asiraumiwe mama kuhusu tozo tunachotoa cha kwetu kwa ajiri ya maendeleo yetu. Kama hakitufai basi tutumie njia zilizo sahihi kukipinga hasa tusivunje katiba tuliyonayo. Na makosa ya singida tusimjumurishie...
  8. P

    TEGETA, DAR: Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Vicent Mritaba apigwa risasi 5 na majambazi

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23] Yaani Ni mwendo wa kununiana tu
  9. P

    Wameniteka kwenye mfumo ili wayajue madhaifu yangu

    Sijatekwa Ila ukiona mtu anaunga mkono juhudi Au kusifia Kama member flani humu juwa keshaingia kwenye mtego wa mfumo Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
  10. P

    Wameniteka kwenye mfumo ili wayajue madhaifu yangu

    Amani ya bwana iwe nanyi kila unalolifanya fanya kama unafanya biashara na mwenyezi mungu Usifanye ili watu waone Tuenderee kwenye mada maisha magumu yanatusababisha tuwe bize kufikia hatua ya kuwa wa vivu wa kusoma nk... Waliniingiza kwenye mfumo ili wayajue mazaifu yangu nami kweli nimekuwa...
  11. P

    Membe namkubali lakini nayaogopa ya Lowassa

    Aman ya bwana iwe nanyi Hali ya uchumi ngumu tujitahidi kupunguza matumizi yasio ya lazima Membe nakukubari nafikia hatua ya kuwaza uhame chama ingawa umefutwa uwanachama bado na amini wewe una mapenzi na chama gani Sio mbaya ukatafuta chama chochote nikupe Kura yangu Unanikosha na misimamo...
  12. P

    Kwanini leseni za udereva hazina "smart chip" wala "password"? Police akiwa anatoa "fine ticket" dereva afanye "fingerprint confirmation"?

    Hakuna dereva anaepigwa cheti akawa anatabasam Hivyo sizani Kama kutakuwa na ushirikiano kwenye password
  13. P

    Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

    Alichotenda msigwa huo ndio ubinadam Unapokosea kuomba msamaha Kuhusu kuhama chama sijui Ila naona Kama maandalizi flan ivi ya kumpokea mzee wa Zimbabwe Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom