Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,087
Vitambulisho vya taifa ni highly advanced mkuu, usividharau! Vina machine yake maalumu inayoweza kusomaNitaanza chini kwenda huu, NSSF wamechacha wako hoi kifedha wanaishi kwa kuokoteza michango ya walio kazini ili wawalipe wastaafu, ndiyo sababu walibadilisha tarehe ya kulipa wastaafu toka tarehe 24 ya mwezi kuwa baada ya 28 wakishapata za walio kazini; Ninakushauri wasamehe kwa sasa kwani walikopwa sana na kulipwa ni majaliwa.
SOLUTION TWO, naona hauna hiyo solution badala yake umeweka swali!
Wakati walipoanzisha leseni hizo na mbwembwe zake zote kuwa zitatunza taarifa za muhusika, cha kushangaza nilipoipata nikashindwa kuelewa tekinolojia inayotumika kuhifadhi taarifa jambo ambalo halipo na haliwezekani kwa kuwa haina chip. Inawezekana wahusika wa mwanzo walipiga mzigo kama wa vitambulisho vya taifa.