Recent content by padmore

  1. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usiulize maswali haya kwa mpenzi wako

    Ni kweli hautakiwi kumuuliza mpenzi wako maswali mengi, tena mimi naamini uongo umesaidia sana kujenga na kuimarisha mapenzi na na mahusiano, kwa maana ya kwamba unampata mpenzi kwakumficha baadhi ya siri zako nyingi, anakubali, pengine ungemwambia ukweli usingempata na kama ni mume/mke wako...
  2. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usiulize maswali haya kwa mpenzi wako

    Embu niambieni ukweli wadau hivi ukiwa unachati na mpenzi wako tena kwa muda mrefu, yaani mpaka maneno ya maana yanawaishia, hivi mkiendelea kuchati unafikiri hamtuanza kuulizana maswali ya kijinga? kwanza mimi napenda kuwaambia kwamba mapenzi yenyewe ni ujinga, nakufanya mapenzi ni ujinga au...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

    Oyaa wadau kwani wale wenye shahada umri wao ni sawa na wale wa stashahada? mbona hapo nimechanganya kidogo, inakuaje? embu nijuzeni
  4. P

    JamiiForums Tanzania Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

    Secretaries especially ladies they are so aggressive to the job applicants as if they are a bosses, i don't know why they do that, sometimes i miss the answer, any one who might know the reason will you please make us know, because this problem becomes serious, who do they think they are, i...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Magumu gani umeyapitia/unayapitia katika kutafuta kazi?

    Wadau aisee acha tu kwakweli magumu niliyo yapitia wakati wakuomba kazi ni mengi na bado naendelea kusonga mbele kwani bado cjapata kazi, changamoto kubwa ni kwamba kila kazi inayotangazwa hasa kwenye makampuni binafsi wanataka mtu mwenye uzoefu usiopungua mwaka mmoja na kuendelea sasa hivi kwa...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

    Nashukuru kwa ufafanuzi wako mzuri wenye kujenga, na kuelimisha maana kweli wengi wetu tunatafuta kazi na pengine tunakosa kazi kwasababu hatutoi taarifa zetu za kutosha ama tunaomba kazi kwakuorodhesha changamoto za maisha zinazotukabili. Hakika soko la ajira nchini inachangamoto kubwa sana...
Back
Top Bottom