Elimu haina uhusiano na umuhimu wa Mwanadamu ktk Jamii
kuna walioelimika lakini bado ni Wajinga ktk kufanya maamuzi. Elimu ni Utambulisho wa nini ulisoma au kutumia muda wako kusomea nini na kukielewa.
Tukisema Tunaondoa Uke wa mwanamke, Je tunakubali na Kusadiki kile tunachosema hana mchango wowote ndani ya Mahusiano??
Tuondoe Ile Manhood kwa Mwanaume Je mwanaume atakuwa na cha Offer ktk jamii and Incoming Generation??
Hakuna sababu ya Kumuonea mtu, huyo K'njaro hata baadhi ya wenzake wanamkataa kwa tabia zake, ukiwa mpumbavu ukafanya upumbavu itabidi ulipie upambavu wako
Usihusishe Upumbavu wako na Huruma za watu
Kwanza mabasi yao chakavu, customer care zero, Matusi na Dharau nyingi kwa Watoa huduma zao...
Mfumo wowote unaoshindwa kusaidia Raia wake haufai kwa Jamii husika, Dmeokrasia inayopigiwa kelele na mataifa ya magharibi kwa nchi zinginr ndio chanzo hasa za mivutano, Migogoro na kelele nyingi.
Vitu vyepesi kama Hivi kujadili ni Matumizi mabaya Sana ya Akili, Iko wazi ktk worldwide politiks kuyapa majina ya viongozi miradi mbalimbali i.e Airport, Manowari za kivita, Kumbi za Umma, Kambi za Jeshi, Roads Na sio Big issue
unless Ubongo wako uwe na Changamoto ktk kufikiri.
Ni rahisi kupata baraka za wazazi na rahisi kupata mikosi kutoka kwa wazazi, mwanaume akishaoa na kujitegemea hapangiwi.
Wazazi wako wakija kwako unapaswa uwaheshimu lakini nao wawe na adabu na nidhamj na mji wako kama ulivyokuwa unakaa kwao.
Ushauri na mawazo yao yasikilize lakini kama ni ya...
Hapo hakuna kisasi kilicholipwa, Kama ingelikuwa Mhusika Kaamua kulipa kwa kuchepuka hicho ndicho Kisasi, Alilofanya Mhusika Ni Darasa Huru. Inabidi Amshkuru Sana Kwa kumnyoosha bara bara.
Mungu Wetu ni Mkubwa sana, He is Mysterious, Anavingi vya kufanya juu yetu, Kama Liko ndani ya Uwezo wako mlipe mdeni wako, Usisubiri Uvuviwe na Roho wa Bwana ndio Ufanye.
Kilicho Ndani ya Uwezo usiwamchie Mungu. Njia zake sio Njia zako. Fanya yaliyo Ndani ya Njia zako, Yasiyo Ndani ya Njia...
Unpoachwa bila kufanyiwa hivi shukuru, Ila unapoachwa na kufanyiwa tukio kama hili Inabdi ushukuru zaidi kwa kuwa
Mosi, Huo ndio mshahara wa Tabia zako
Pili, Aliekufanyia hivi hakupendezwa na tabia zako licha ya kuku alert mapema juu ya mahusiano yenu, so ameamua kwenda hatua mbele zaidi...
Ni rahisi kuachana na Mtu lakini kama Ni mtu mpumbavu anaendeleza upumbavu wake. Kuachwa kwa staili hii Ni Darasa Huru kwake piah huko aendako. Nadhani wengine huja katika Maisha yako kama Funzo na Huondoka katika Maisha yako wakikuachia Funzo tosha. Huyu binti amefanikiwa kujifunza vema kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.