Recent content by pachanya

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Outcome yake ni ipi mbaya? Wewe unahisi unawazidi nini hao unawaona hawana akili?
  2. P

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hii ndio solution pia nataka kuweka Savana .Kwanza bei yao ni 49k na sijasikia malalamiko kwa mtu hata mmoja so far. Ttcl walitutumia msg kuomba radhi kuhusu speed ila hamna kilichobadilika. Uzuri sehemu ina kila Fiber unayotaka, kulalamika ni kujitakia tu. Kuna wengine wanaitwa Neso nimeona...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Kila jambo kama sio la lazima kabisa kama kula, kupumua huwa linamshangaza mtu mwingine asiyelifuata. Hata wewe ni mateka kwa watoto wako kuna mtu anakuona punguwani kuwa nao.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kama michango ya mlinzi, umeme na maji kwenye shule za serikali ni halali, kwanini hawataki tulipe kwa control namba na tupewe risiti za EFD?

    Kipi kifanyike mkuu, michango ifutwe au utaratibu wa ukusanyaji uboreshwe?
  5. P

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ninatumia Ttcl mwaka wa 3 huu, aisee wameanza kuwa hovyo mnooo nafikiria kuwahama Muda sio mrefu
  6. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Hakuna biashara zinafilisi kama hizo za China mkuu. Unaweza usiamini mpaka ukianza kuzifanya. Utaona kitu rahisi China ila ukinunua unashangaa mpaka unauza ukitoa gharama zote una Loss.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Upo sahihi mkuu, Mchina kwa sasa ana Eco-system ya biashara ambayo hakuna Taifa duniani linaweza kushindana nalo. Ukifika mfano Shenzhen utagundua hawa jamaa kwenye production ni another level. Sasa nchi kama USA inazuia electric cars kutoka china kulinda viwanda vyao, hata kama raia atanunua...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Nipo kwenye sekta ya madini, kwa sasa hawa jamaa hawauzi tena vifaa, wanawakopesha wachimbaji wakiuza madini wanawalipa polepole. Na wana uwezo huo sababu wana mitaji. Tuliokuwa tunauza kwa sasa biashara haiendi hata ushushe bei. Ni suala la muda Tu kila mtu atafikiwa mkuu.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Wachina wakishaua wafanyabiashara wa kibongo watarudisha bei zilezile unazolalamikia.... Nafikiri tumia gape la bidhaa kuwa kubwa kupiga hela mkuu.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Yeye atuletee hizo bidhaa kwa bei rafiki tukanunue kwake. Watu hawaoni effect ya wachina kwa sasa kwa uchumi wetu. Huwezi kushindana na mchina kuanzia kwenye mtaji, chain ya biashara na kila kitu... Wanafikiri mfanyabiashara ndio ataumia mwenyewe.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Kama wabongo wanauza bei kubwa huoni ni fursa ya wewe kuingia kwenye business na kutajirika mkuu, kama ni rahisi hivyo?
  12. P

    JamiiForums Tanzania Amri ya kutaka nyumba za kulala Wageni kupokea wenye namba ya NIDA tu itadhoofisha sana Sekta hiyo binafsi na kuleta usumbufu mkubwa sana kwa Raia

    Unatakiwa utoe kitambulisho cha Nida. Namba haitapokelewa wala kitambulisho chochote kile.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii naona kama umasikini ni mkubwa sana kwetu

    Ukiacha mashine kubwa, ambazo huwa nzuri, hivyo vidogo vidogo kama pc,tv,tools vingi ni vya hali ya chini mnoo. PC ya mwaka gani sijui huko nyuma.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Mimi hapa ni mfano halisi. Paripesa walifungia acc yangu ikiwa na 17m. Nikaenda bodi pale Posta wakasema hao ni matapeli na hawajasajiliwa bongo.
  15. P

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Aende kule jukwaa la Mikeka, niliweka na ushahidi Paripesa walinipiga 17m na sina cha kuwafanya
Back
Top Bottom