Recent content by pachanya

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii naona kama umasikini ni mkubwa sana kwetu

    Ukiacha mashine kubwa, ambazo huwa nzuri, hivyo vidogo vidogo kama pc,tv,tools vingi ni vya hali ya chini mnoo. PC ya mwaka gani sijui huko nyuma.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Mimi hapa ni mfano halisi. Paripesa walifungia acc yangu ikiwa na 17m. Nikaenda bodi pale Posta wakasema hao ni matapeli na hawajasajiliwa bongo.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Aende kule jukwaa la Mikeka, niliweka na ushahidi Paripesa walinipiga 17m na sina cha kuwafanya
  4. P

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Anaongea vitu havina ushahidi. Kampuni nyingi hususani za Kirusi hazijasajiliwa bongo so ukishinda pakubwa huwa wanatabia ya kufungia account. Watakupa sababu yeyote ya kijinga Ukienda bodi hawakusaiidii sababu hawawatambui.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bora Saka anajitahidi, Eze ndio kapotea kabisa
  6. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ngumu sana..kwenye makaratasi unaona tunashida kirahisi
  7. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tumeanza game slow sana..tunahitaji goli 2 before HT
  8. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kulikuwa na ulazima Rice kwenda beki 2 na Hincapié, Mosquera wapo benchi. Mbona kiungo kilikuwa kimekaa vizuri tu, Zubi/Skelly sijui
  9. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sub mbovu sana..Sijui tuangalie mpira.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Now pressure ipo kwa Man City kushinda...kweli it's not done kipindi walivyotufunga 2_1.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hawa Brentford wafuate blueprint ya Everton tu...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Haya majinga yamegundua Defence nzuri itawapeleka fainali, hayachezi tena kama yamekatwa vichwa. Waungane watengeneze kikosi kimoja tukutane fainali l
  13. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Teh teh kuna muda inabidi utulie tu ukubaliane na mawazo ya haters. Hao Bayern na Psg unaweza ukafikiri ni timu za Sayari ya 20 huko, kumbe tushacheza nazo tukazifunga/zikatufunga kama timu nyingine tu tulizokutana nazo. Naangalia game ya Psg/Bayern now, hakuna cha ajabu wanachocheza Arsenal...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naona bold decision from Coach...Skelly kaanza..
  15. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hao wanaocheza kama wamekatwa vichwa tunawahitaji sana fainali tuwafundishe namna ya kubalance kushambulia na kukaba. Hii Arsenal hakuna kima anaweza akaifunga goli 3 mkuu hakuna...hao akina Olise Hizo spaces watazitafuta kwa tochi... Tuangalia game.
Back
Top Bottom