Kama unafundisha bila shaka utakuwa unajua hiyo 1,400 ni wapi imetokea na hiyo 500 yenu pia. Kuna sehemu ni 1,000 kwingine 1,200 inategema na mahitaji ya sehemu.
Tunachoshangaa sio mzazi mwenzetu kukosa 1400, ni namna analalamika badala ya kutafuta solution.Sababu anayekula ni mtoto wake na...
Utatuzi ni aende kwa uongozi wa shule atoe kero yake kuwa 1400 ni nyingi yeye hana mtoto wake asisumbuliwe,
Angesema ameenda na bado anachapwa tungeona kuna shida.
Ila kama kuna mzazi analalamika kuhusu mtoto wake kula tena kwa 1400 na anaona kero kabisa aiseee tuna safari ndefu sana.
Kama mahindi yameisha yaliyoletwa na serekali wazazi mmefanya nini kuhahakikisha yanapatikana watoto wenu wale?
Hiyo 1400 itakuwa imepitishwa na kikao cha wazazi ila wewe huudhurii unakuja JF kulalamika. Au unataka mtoto ale chakula cha Nani?
Kwa sasa EPL hakuna mechi rahisi kabisa. Usipokaza hadi Wolves anakuchapa, kila mtu anapambana ama asishuke daraja au aende michuano ya kimataifa.
Kwa sasa muhimu ni kushinda tu, Mpira mzuri tulishacheza sana huko nyuma mpaka tukawa tunachekwa.
Kiufupi Serekali inasaidiwa na Makanisa kutoa huduma ya afya. Wanachofanya ni kusaidia ili huduma iwe na nafuu na kwa watu wote.
Na wanaomba kila siku MOU iendelee ili wananchi wote wapate huduma bila upendeleo.
Mwenye akili timamu atashukuru kanisa kwa kukubali MOU ili huduma ziwe kwa wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.