Kila mtu anamuona aliyeshinda hana akili, hajafanya jitihada za kutosha kufuatilia 27m yake
Nasema sawa, subiría ushinde wewe utamuelewa...Kampuni zote zinakula na Game Boarding kukuzulumu wewe unayebet. Utazungushwa hutoamini.
Subiría ushinde utaona.
Umeongea sahihi sana kwenye betting kuna utapeli mkubwa sana, ni vile watu wengi hawashindi wanaona kawaida tu.
Mimi nilishawahi kushinda 17m wakafungia Account yangu, hao Gaming board ni takataka tu hawana msaada wowote
Hata mimi sielewi, nilitegemea UHAINI hapo kuna wanajeshi kadhaa wameshtakiwa, Silaha zimekamatwa na mambo ya dizaini hiyo. Kuna njama zinathibitishwa zilipangwa.
Sasa wanabishana tu mara video mara maneno, sijui utazuia uchaguzi. Sasa kuna serekali inapinduliwa kwa sentensi mbili duniani...
Inaonekana Magufuli hakuna ofisi zao za kuhifadhi mizigo. Na Chalamila hataki kuona gari Urafiki. So itabidi mizigo ifaulishwe kwenye malori ifike kwenye ofisi zao.
Kiufupi atakayeumia ni sisi wananchi, wenye mabasi wataongeza bei tu kucover cost zao.
Zama za kulala stand usichelewe zinarudi...
Plan A ilikuwa kumzungusha na hii kesi akubaliane na masharti yao ya kumuachia.
Mwamba kagoma yupo tayari kukaa hata ikibidi anyongwe.
Tuone plan B itakuwa ipi.
Hii ndio solution pia nataka kuweka Savana .Kwanza bei yao ni 49k na sijasikia malalamiko kwa mtu hata mmoja so far.
Ttcl walitutumia msg kuomba radhi kuhusu speed ila hamna kilichobadilika. Uzuri sehemu ina kila Fiber unayotaka, kulalamika ni kujitakia tu.
Kuna wengine wanaitwa Neso nimeona...
Kila jambo kama sio la lazima kabisa kama kula, kupumua huwa linamshangaza mtu mwingine asiyelifuata.
Hata wewe ni mateka kwa watoto wako kuna mtu anakuona punguwani kuwa nao.
Hakuna biashara zinafilisi kama hizo za China mkuu. Unaweza usiamini mpaka ukianza kuzifanya.
Utaona kitu rahisi China ila ukinunua unashangaa mpaka unauza ukitoa gharama zote una Loss.
Upo sahihi mkuu, Mchina kwa sasa ana Eco-system ya biashara ambayo hakuna Taifa duniani linaweza kushindana nalo. Ukifika mfano Shenzhen utagundua hawa jamaa kwenye production ni another level.
Sasa nchi kama USA inazuia electric cars kutoka china kulinda viwanda vyao, hata kama raia atanunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.