Hii ndio solution pia nataka kuweka Savana .Kwanza bei yao ni 49k na sijasikia malalamiko kwa mtu hata mmoja so far.
Ttcl walitutumia msg kuomba radhi kuhusu speed ila hamna kilichobadilika. Uzuri sehemu ina kila Fiber unayotaka, kulalamika ni kujitakia tu.
Kuna wengine wanaitwa Neso nimeona...
Kila jambo kama sio la lazima kabisa kama kula, kupumua huwa linamshangaza mtu mwingine asiyelifuata.
Hata wewe ni mateka kwa watoto wako kuna mtu anakuona punguwani kuwa nao.
Hakuna biashara zinafilisi kama hizo za China mkuu. Unaweza usiamini mpaka ukianza kuzifanya.
Utaona kitu rahisi China ila ukinunua unashangaa mpaka unauza ukitoa gharama zote una Loss.
Upo sahihi mkuu, Mchina kwa sasa ana Eco-system ya biashara ambayo hakuna Taifa duniani linaweza kushindana nalo. Ukifika mfano Shenzhen utagundua hawa jamaa kwenye production ni another level.
Sasa nchi kama USA inazuia electric cars kutoka china kulinda viwanda vyao, hata kama raia atanunua...
Nipo kwenye sekta ya madini, kwa sasa hawa jamaa hawauzi tena vifaa, wanawakopesha wachimbaji wakiuza madini wanawalipa polepole. Na wana uwezo huo sababu wana mitaji.
Tuliokuwa tunauza kwa sasa biashara haiendi hata ushushe bei. Ni suala la muda Tu kila mtu atafikiwa mkuu.
Yeye atuletee hizo bidhaa kwa bei rafiki tukanunue kwake.
Watu hawaoni effect ya wachina kwa sasa kwa uchumi wetu. Huwezi kushindana na mchina kuanzia kwenye mtaji, chain ya biashara na kila kitu...
Wanafikiri mfanyabiashara ndio ataumia mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.