Recent content by pachanya

  1. P

    KERO Wazazi tunalazimishwa kuchangia chakula kila siku katika Shule ya Sekondari Ipala

    Kama unafundisha bila shaka utakuwa unajua hiyo 1,400 ni wapi imetokea na hiyo 500 yenu pia. Kuna sehemu ni 1,000 kwingine 1,200 inategema na mahitaji ya sehemu. Tunachoshangaa sio mzazi mwenzetu kukosa 1400, ni namna analalamika badala ya kutafuta solution.Sababu anayekula ni mtoto wake na...
  2. P

    KERO Wazazi tunalazimishwa kuchangia chakula kila siku katika Shule ya Sekondari Ipala

    Utatuzi ni aende kwa uongozi wa shule atoe kero yake kuwa 1400 ni nyingi yeye hana mtoto wake asisumbuliwe, Angesema ameenda na bado anachapwa tungeona kuna shida. Ila kama kuna mzazi analalamika kuhusu mtoto wake kula tena kwa 1400 na anaona kero kabisa aiseee tuna safari ndefu sana.
  3. P

    KERO Wazazi tunalazimishwa kuchangia chakula kila siku katika Shule ya Sekondari Ipala

    Kama mahindi yameisha yaliyoletwa na serekali wazazi mmefanya nini kuhahakikisha yanapatikana watoto wenu wale? Hiyo 1400 itakuwa imepitishwa na kikao cha wazazi ila wewe huudhurii unakuja JF kulalamika. Au unataka mtoto ale chakula cha Nani?
  4. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hizi timu zinachojua ni Low Block na kukamia kwenye ligi zikicheza na Arsenal, kimataifa chali. Atapigwa goli 8 huyu.
  5. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunahitaji goli jingine kuepuka pressure za dakika za mwisho
  6. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyu Dowmans fundi sana...na hapo ana 16 tu.
  7. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Madueke hakutakiwa kurudi kipindi cha pili
  8. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa sasa EPL hakuna mechi rahisi kabisa. Usipokaza hadi Wolves anakuchapa, kila mtu anapambana ama asishuke daraja au aende michuano ya kimataifa. Kwa sasa muhimu ni kushinda tu, Mpira mzuri tulishacheza sana huko nyuma mpaka tukawa tunachekwa.
  9. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nataka ubingwa tukauchukue pale pale Etihad kwa baba lao wanayemsifu.
  10. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal wachezaji wamechoka sana, Arteta ana kazi kubwa ya kufanya kumaliza nao msimu
  11. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Game ngumu sana hii, sioni ushindi kabisa
  12. P

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Muda wao wa kuhamia Man City unakaribia.
  13. P

    PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

    Kiufupi Serekali inasaidiwa na Makanisa kutoa huduma ya afya. Wanachofanya ni kusaidia ili huduma iwe na nafuu na kwa watu wote. Na wanaomba kila siku MOU iendelee ili wananchi wote wapate huduma bila upendeleo. Mwenye akili timamu atashukuru kanisa kwa kukubali MOU ili huduma ziwe kwa wote
  14. P

    Marekani na EU wakitaka kumuondoa Rais yeyote wa 'Third World Countries' hawashindwi

    Kwa yaliyotokea 29/10 na kuyashuhudia kwa macho yangu. Nachelea kusema Gen z wangekuwa na silaha Dsm tungekuwa ndani mpaka leo.
Back
Top Bottom