Recent content by pachanya

  1. P

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Kila mtu anamuona aliyeshinda hana akili, hajafanya jitihada za kutosha kufuatilia 27m yake Nasema sawa, subiría ushinde wewe utamuelewa...Kampuni zote zinakula na Game Boarding kukuzulumu wewe unayebet. Utazungushwa hutoamini. Subiría ushinde utaona.
  2. P

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Umeongea sahihi sana kwenye betting kuna utapeli mkubwa sana, ni vile watu wengi hawashindi wanaona kawaida tu. Mimi nilishawahi kushinda 17m wakafungia Account yangu, hao Gaming board ni takataka tu hawana msaada wowote
  3. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hatutengenezi nafasi kabisa leo
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuendelea na maswali ya dodoso Mahakamani Agosti 27, 2026

    Hata mimi sielewi, nilitegemea UHAINI hapo kuna wanajeshi kadhaa wameshtakiwa, Silaha zimekamatwa na mambo ya dizaini hiyo. Kuna njama zinathibitishwa zilipangwa. Sasa wanabishana tu mara video mara maneno, sijui utazuia uchaguzi. Sasa kuna serekali inapinduliwa kwa sentensi mbili duniani...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yaani serious hawa jamaa dogo tuliyewapa Haven anaanza kikosi cha kwanza. Nilikuwa sijui kama wana hali mbaya hivi...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu TABOA; Watanzania Wajiandae Na Nauli Mpya

    Inaonekana Magufuli hakuna ofisi zao za kuhifadhi mizigo. Na Chalamila hataki kuona gari Urafiki. So itabidi mizigo ifaulishwe kwenye malori ifike kwenye ofisi zao. Kiufupi atakayeumia ni sisi wananchi, wenye mabasi wataongeza bei tu kucover cost zao. Zama za kulala stand usichelewe zinarudi...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mahakama: Lissu ana Kesi ya kujibu kutokana na ushahidi wa Jamhuri uliotolewa (Agosti 21, 2026). Amtaja Rais Samia kuwa shahidi wake

    Plan A ilikuwa kumzungusha na hii kesi akubaliane na masharti yao ya kumuachia. Mwamba kagoma yupo tayari kukaa hata ikibidi anyongwe. Tuone plan B itakuwa ipi.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Outcome yake ni ipi mbaya? Wewe unahisi unawazidi nini hao unawaona hawana akili?
  9. P

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hii ndio solution pia nataka kuweka Savana .Kwanza bei yao ni 49k na sijasikia malalamiko kwa mtu hata mmoja so far. Ttcl walitutumia msg kuomba radhi kuhusu speed ila hamna kilichobadilika. Uzuri sehemu ina kila Fiber unayotaka, kulalamika ni kujitakia tu. Kuna wengine wanaitwa Neso nimeona...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Kila jambo kama sio la lazima kabisa kama kula, kupumua huwa linamshangaza mtu mwingine asiyelifuata. Hata wewe ni mateka kwa watoto wako kuna mtu anakuona punguwani kuwa nao.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Kama michango ya mlinzi, umeme na maji kwenye shule za serikali ni halali, kwanini hawataki tulipe kwa control namba na tupewe risiti za EFD?

    Kipi kifanyike mkuu, michango ifutwe au utaratibu wa ukusanyaji uboreshwe?
  12. P

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ninatumia Ttcl mwaka wa 3 huu, aisee wameanza kuwa hovyo mnooo nafikiria kuwahama Muda sio mrefu
  13. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Hakuna biashara zinafilisi kama hizo za China mkuu. Unaweza usiamini mpaka ukianza kuzifanya. Utaona kitu rahisi China ila ukinunua unashangaa mpaka unauza ukitoa gharama zote una Loss.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Upo sahihi mkuu, Mchina kwa sasa ana Eco-system ya biashara ambayo hakuna Taifa duniani linaweza kushindana nalo. Ukifika mfano Shenzhen utagundua hawa jamaa kwenye production ni another level. Sasa nchi kama USA inazuia electric cars kutoka china kulinda viwanda vyao, hata kama raia atanunua...
Back
Top Bottom