Anaongea vitu havina ushahidi. Kampuni nyingi hususani za Kirusi hazijasajiliwa bongo so ukishinda pakubwa huwa wanatabia ya kufungia account. Watakupa sababu yeyote ya kijinga
Ukienda bodi hawakusaiidii sababu hawawatambui.
Teh teh kuna muda inabidi utulie tu ukubaliane na mawazo ya haters.
Hao Bayern na Psg unaweza ukafikiri ni timu za Sayari ya 20 huko, kumbe tushacheza nazo tukazifunga/zikatufunga kama timu nyingine tu tulizokutana nazo.
Naangalia game ya Psg/Bayern now, hakuna cha ajabu wanachocheza Arsenal...
Hao wanaocheza kama wamekatwa vichwa tunawahitaji sana fainali tuwafundishe namna ya kubalance kushambulia na kukaba.
Hii Arsenal hakuna kima anaweza akaifunga goli 3 mkuu hakuna...hao akina Olise Hizo spaces watazitafuta kwa tochi...
Tuangalia game.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.