Buku 2 kisa nini that is nonsense tunajua viongozi wetu wote auto theft.ni sawasawa unaruka mkojo unakanyaga mavi.REMEMBERING OF MWL JK NYERERE ERA I HOPE ONE TUTAPATA MFANO WAKA GOOD LEARDERSHIP
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 18 nilikuwa naomba ushauri na maelekezo kwenu wadau nilikuwa nataka kufungua PlayStation center game ya watu wenye rika yote watoto hata watu wazima mtu mwenye experience nayo haniambie je mtaji at least uwe bei gani na vifaa vya PlayStation 3 vinauzwaje na...
Habari wapendwa wana jamii forum nilikuwa nataka msaada hata maoni. Mimi ni kijana Nina umri wa miaka 19 Nina kipaji cha kuimba muziki kama rnb and pop kwa hiyo nilikuwa nahitaji msaada na ushauri.
Nitashukuru kama mkinipa maoni hata msaada peace and love.
Habari wapendwa wana jamii forum nilikuwa nataka msaada hata maoni.Mimi ni kijana Nina umri wa miaka 19 nahisi Nina kipaji cha kuimba muziki kama rnb and pop kwa hiyo nilikuwa nahitaji msaada na ushauri.
Nitashukuru kama mkinipa maoni hata msaada peace and love
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.