Habari za sahizi wakuu wa JF?
leo asubuhi katika kusoma kwangu biblia nikapata kujiuliza maswali kidogo juu ya mamajusi au magi kwa kiingereza baada ya wao kuona nyota na kugundua kuna mfalme ambaye ni yesu kuwa amezaliwa..
Swali ni kuna uhusiano gani hapo kati ya nyota na yesu? na je ni kweli...
Za sahizi wakuu wa JF? Kwa anaejua idadi ya social services kama shule, makanisa, misikitina na idadi ya wanaume na wanawake waliopo Kiwalani, naomba atupie humu...
ata shetani pindi yupo mbinguni alitamani sana power na dominance aliyo nayo mkuu wake(Mungu) kama biblia na vitabu vingine vya dini vilivyoeleza na mwisho wake akatupwa duniani pamoja na wafuasi wake na ndo ulikuwa mwanzo wa haya yote..na ata pale Mungu akaujaza ulimwengu na 'human came to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.