Unaweza kushare link hii na rafiki au ndugu yako ajiunge humu pia ili asipitwe na taarifa mbalimbali kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuhusu masuala ya ajira.
https://whatsapp.com/channel/0029VaGfzXiGufIxoSDiDL2S
Kwa wanaoomba kazi kupitia mfumo wa ajiraportal, ili iwe na assurance ya kwanza ya kuwa shortlisted ukiachana na vigezo vingine, hakikisha umezingatia haya kwenye mfumo (akaunti yako)
1. Umeweka vyet vilivyopigwa mhuri kwa mwanasheria kwa maana ya vyeti vyote vya kitaaluma (4,6, chuo, transcript...
Kwa walioomba ajira za afya kupitia mfumo wa utumishi wa umma AJIRA PORTAL, Leo ndo mwisho wa kuomba so Hakikisha unapitia account yako kuona kama kila ktu kimekaa Sawa kabla ya saa tano na dakika 59 usiku [emoji120]
Ni mfuko gani unaofaa UTT AMISS kwa mwekezaji anayeanza na 10M, kati ya bond fund na liquid fund ili angalau kukuza uwekezaji na kwa uwekezaji huo faida yake ipoje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.