Recent content by p nation

  1. P

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mhhh mbna Sioni message
  2. P

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Daraja Zuri kivipi na je hadi unataka kuhama si lazima Kwanza uongee na mwajiri mpya
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Duhh mchawi connection
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Sawa mkuu pia kama ningepata mawasiliano yako unielekeze kitu ingekuwa vyema zaidi
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Naomba niulize kitu Mimi Niko taasisi ya elimu ya juu hapa dar es salaam na Nina mwaka JE kama nataka kuhama kwenda sehemu kama. Tbs au tmda JE naweza kuruhusiwa au ndo ntaambiwa hadi miaka mitatu
  6. P

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Kiwanda cha Sukari Mtibwa-Mvomero-Morogoro

    Mimi nilikuwa pale mtibwa sugar kuhusu Msimu wa uzalishaji kuanza huwa unaanza mwezi wa tano baada ya mvua za masika kuisha na kuhusu Kazi za shamba ambazo Unaweza kupata hata sasa hivi ukienda Ni ya kukata miwa sasa hivi huwa wanalipa around kama 10,000 Kwa siku ila uwe ngangari kidogo màana...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Tatizo la sikio la kushoto: Kusikia Kelele Kama Upepo Unapita

    Brother ninakupataje
Back
Top Bottom