Utaratibu huo wa kutaka elimu kirahisi kwa kuhonga upo vyuo vingi si Mzumbe peke yake, na ulifanya hivyo coz we ni kopo walio wengi wanagraduate kwa akili zao wenyewe! So pole kwa kugharamikia kuanzia ada hadi hizo za kuhongea!
Rank ya chuo chako haimaanishi ndio utapata kazi haraka, uzuri wa chuo ni pale unapokuwa umemaliza na ukapata kazi so haijalishi umesoma wapi. Hizo ranks ni mbwembwe tuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.