Ni kama mzee nyerere alivyo 2jaza miaka ile chuki dhidi ya IDD AMIN kwamba alikuwa anakula watu! na mengine mengi hadi leo watoto bado wanaimbishwa mashuleni!
Ukiwa tayari niite nije nikupigie hesabu make hili ni suala la kiufundi zaidi! atakae kupigia hesabu humu hajafika kwenye nyuma yenyewe anakudanganya mkuu!!
Habari zenu wadau?
Mi kuna mtu nimemsikia anasema kwamba ukichukua Panadol 2 ukatia kwenye soda 1 (Coca) ukanywa kwamba inasaidia kusimamisha uume kwa muda mrefu sana, kwamba kwa wakati ule utacheza mechi mpaka bac!
Je, kuna ukweli juu ya hili?
Nawasilisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.