Recent content by owawajr

  1. owawajr

    Mwenyekiti wa CCM Rorya akamatwa na Meno ya Tembo

    Ni mwisho wao kwa ngazi zote
  2. owawajr

    Kikwete apokea salamu za kheri toka kwa rais Barack Obama wa Marekani

    Pole sana Mr. President, welcome back home soon, escrow is leadership dilemma
  3. owawajr

    Ni watu wenye nguvu ndio msingi wa maendeleo au Taasisi na Mifumo Imara ndio nguzo ya Maendeleo?

    Ili kuendelea jamaii inahitaji watu walio imara,bora,wenye nguvu katika kuendeleza jamii,lakini katika nchi za Afrika kumekwepo watu imara,bora na wenye uwezo walioshindwa kuendeleza jamii zao kutokana na udhaifu wa kitaasisi na mifumo katika nchi husika.Je,Ni Taasisi na mifumo bora na imara...
  4. owawajr

    Nategemea kupeleka hii Hoja yangu binafsi Bunge la August 2013 kuhusu Ajira kwa Vijana

    Muendelezo wa siasa na kudanganya umma na muda usogee! !!!
  5. owawajr

    'Golden Chance' kwa Samwel Sitta

    Kumwamini sita na sawa na kupoteza muda
  6. owawajr

    Udhaifu wa Kikwete wadhihirika Bukoba kuhusu ugomvi wa Meya vs Mbunge

    Mbunge aligoma kisalimiana na mayor! !!!!!!
  7. owawajr

    IKULU: Waliojitangaza kupigwa na JWTZ - Mtwara ni vibaka

    Hakuna anaestahili unyama kama huu
  8. owawajr

    William Malecela kumvaa Lusinde uchaguzi mkuu 2015 jimbo la Mtera!

    Akili ya lusinde na William hazina utofauti
  9. owawajr

    Rai Yangu kwa Mh. Pinda na Rais Kikwete, Tunaomba Busara Zenu !

    Kilio cha wanamtwara ni kulilia nchi yao,ni uwakilishi wa hisia za watanzania,ni ujumbe mzito usiostahili kupuuzwa,kuzimwa kwa risasi au hotuba za vitisho kutoka kwa watawala,hekima na busara ya hali ya juu inahitajika katika kutatua changamoto bila kuwapuuza wananchi kwa sababu maeneo yote...
  10. owawajr

    Ushauri wangu mgumu kwa kamanda Mbowe kuhusu CHADEMA kujitoa kwenye tume ya katiba

    Wana JF Naomba kutoa ushauri wangu kwa viongozi wa CHADEMA,Wanachama na Wapenda mabadiliko wanaoamini katika Tanzania mpya zaidi ya hapa tulipo kuhusu msimamo wa viongozi wa CHADEMA ya kutaka kujitoa katika mchakato mzima wa maandalizi ya katiba mpya. NAOMBA KUWAAMBIA KUWA WASIJITOE KWA SABABU...
  11. owawajr

    Tume ya mabadiliko ya Katiba inatupa fursa ya kujua uhalisia na uzalendo wa Warioba na Prof.Baegur

    Kwa muda mrefu kati ya watu ambao wamekuwa na rekodi ya kulilia nchi au kupigania Tanzania ni Jaji Joseph Sinde Warioba na Prof.Mwesiga Baregu hawa watu wamekuwa katika utumishi wa umma kwa muda mrefu katika uwanja tofauti lakini wote wamekuwa wakitafsiriwa kama wapigania nchi na kupewa jina la...
  12. owawajr

    Moto wawaka jengo la PPF Tower - Dar

    Ndio Tz,asante kwa taarifa
  13. owawajr

    Zitto awaaga wapiga kura wa Kigoma Kaskazini

    Ni busara kukitathmini na kukubali kuwa kuna watu wanaweza kuchangia maendeleo ya sehemu husika kwa kuanzia ulipoachia,Mola akutangulie katika hatua zinazofuata
Back
Top Bottom