Mlolongo ulikuepo..walifanya uhakikia wa vyeti kwa mud mrefu tu,wakawabaini ,tar 1/5/2017 kupitia hotuba ya mheshimiwa rais wakaamriwa kuacha kaz mara moja kwa ridhaa yao wenyew...au unazungumzia mlolongo upi
Kwa kwawaida kama unadai mafao ukikamilisha kujaza fomu unasubiri takriban mwez 1 hadi miwili ndio ulipwe...wao wamejaza fomu kuanzia Nov 1 sasa hawa watalipwa kuanzia january ...kwenye kudai mafao haujaz fomu leo ukalipwa kesho lazma usubiri wahakiki kwanza ndio ulipwe
Yule prof wa UdSM alikutw na vyeti feki na bado aliyekua rais alimteua waziri wa sheria..kwahyo ukiwa na vyeti feki hutakiwi kulipwa wala kua mtumisha wa umma ila ni ruksa kua waziri au mbunge si ndio...mbona hamkulalamika alivyopewa uwaziri wa sheria yule prof??? Waachen jaman walipwe hizo 5%...
Yan Tanzania risk takers ni wengi sana[emoji23]kila siku wanatapeliwa madai yao wamebeba hii principal ya biashara.."the higher the risk the higher the profit"[emoji23][emoji23]..wanaamin kuna siku watapata faida kubwa sana
Kwa mganga mnatoa sadaka adi hela ya mwisho ya akiba ila hamlalamiki[emoji23]kwahyo ni halali mganga kudai sadaka ila mtumishi wa Mungu hatakiwi kudai sadaka[emoji23][emoji23]...mganga akisema lete damu lita 100,mtu unatengeneza ajali kuzoa damu umpelekee mganga..ila kumtolea Mungu umekuj...
Ili upone lazima uamini,hao wa kkoo wanaamini kuwa watapona kwa jina la Yesu?..nikushaur kakusanye hao wa kkoo wafundishe kuamin halafu wapeleke kwenye maombez nao watapona..usijichoshe kumkebehi mtu ambaye Mungu anamtumia kama chombo kuponya watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.