Nikituma pesa kutoka airtel kwenda mitandao mingine mfano elfu 20- hadi 30 makato yake ni mia 600
Na kuanzia laki 1 hadi laki 2 makato yake ni 1600 haya ni makato mapya sidhani kama umeibiwa
Mimi ni Mkristo mcha Mungu mlutheri miaka 30 nipo Dar es salaam.
nafanya kazi katika kampuni binafsi.
Nahitaji mume Mkristo mcha Mungu mwenye mapenzi ya dhati.
Awe hajawahi kupata mtoto kwani na mimi sina mtoto.
Miaka 30 na kuendelea
Awe anaishi Dar es salaaam.
Wanahitajika vijana wawili(2) kujaza nafasi zilizo wazi.
Aina ya kazi:Usajili wa line za simu za Airtel.
Eneo la kazi:Temeke
Vigezo:
-Uwe mkazi wa Temeke au maeneo jirani.
-Uwe na smartphone
--Umri:18-30 mwenye akili timamu
Ofisi zipo Tandika Temeke,kwa maelekezo zaidi piga simu 0688 838566
Habari za leo,Nina shida kwenye simu yangu naomba wataalamu wanisaidie,nimenunua simu mpya Tecno Spark 2,Kama kawaida yangu napenda nikiangalia video you tube nisome na comments hapo hapo ila yangu haionyeshi shida ni nini wataalamu naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.