Hapo unajiumiza mwenye. Kama kuacha mazoezi inabidi uache kidogo kidogo (yani kama ulikuwa unakimbia kilomita 20 upunguze kilomita uwe unakimbia ata kilomita 15) na sio uache moja kwa Moja kwa kukurupuka
Sent using Jamii Forums mobile app
biashara za kufanikiwa. jifanye dokta mwenye dawa za magonjwa yaliyo shindikana. Mbona utapata ela mana wajinga atuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau wote humu ndani.
Swali langu ivi alama ya mistari kwenye kucha kama hivo kwenye picha huwa shida ni nini au inatokana na nini.
Naomba kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau wote humu ndani. Naombeni msaada wa kimawazo. Ni mbinu zipi nitumie kufikia malengo ya kufungua biashara yangu mwenyewe (kujiajiri)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nailifanya mapenzi na msichana mmoja ambae kwa hapa mtaani kwetu inasemekana ameathirika. Na kibaya zaidi huyo msichana atumii dozi(ARV). Na katika kufanya nae mapenzi sikutumia kinga. Yapata miezi mitatu toka nifanye nae mapenzi naona dalili ambazo ni tata kwangu.1:kuvimba kwa vitu kama vipele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.