othumani kaka
Member
- Apr 3, 2020
- 16
- 5
Habari wadau wote humu ndani.
Swali langu ivi alama ya mistari kwenye kucha kama hivo kwenye picha huwa shida ni nini au inatokana na nini.
Naomba kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu ivi alama ya mistari kwenye kucha kama hivo kwenye picha huwa shida ni nini au inatokana na nini.
Naomba kujua
Sent using Jamii Forums mobile app