Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Wasalaam wakuu!
Naomba msaada juu ya tatizo linalonikabili yapata muda sasa. Ni kwamba mdomo wangu wa chini unabadili rangi yake ya asili na kuwa mwekundu.
Nilitembelea hospitali Dar es salaam nikaambiwa ni upungufu wa madini, nilipewa dawa NAT B lakini hazikusaidia
- sivuti sigara
- sinywi Gongo
- sina ukimwi
- n.k
Naomba msaada ni dawa ipi naweza kutumia ili mdomo usizidi kuwa mwekundu. (Red lip)
Asanteni na karibu kwa msaada wakuu
Naomba msaada juu ya tatizo linalonikabili yapata muda sasa. Ni kwamba mdomo wangu wa chini unabadili rangi yake ya asili na kuwa mwekundu.
Nilitembelea hospitali Dar es salaam nikaambiwa ni upungufu wa madini, nilipewa dawa NAT B lakini hazikusaidia
- sivuti sigara
- sinywi Gongo
- sina ukimwi
- n.k
Naomba msaada ni dawa ipi naweza kutumia ili mdomo usizidi kuwa mwekundu. (Red lip)
Asanteni na karibu kwa msaada wakuu