Mitandao ya simu Tanzania kucharge wateja wake kwa njia ya vifurushi wakati coverage katika mitandao yao sio nzuri, Wakati mwingine muda wa kifurushi unakwisha kabla ya mteja kuweza kutumia hata 50% ya kifurushi hasa vifurushi vya data. Mtandao uakuja unaondoka. Hili sio JIPU? :lock1:
Nimatumaini yangu kuwa mu-wazima wa afya wana jf wa jukwaa hili la sheria.
Mahaka ya Tanzania inatambua mkakataba ambao umevuja sharia ya nchi?
Natanguliza shukrani..
Sidhani kama sheria inaruhusu kukopesha kwa riba kama hujasajiliwa na bank kuu na TRA. Hutakuwa hunavunja sharia ya nchi.. Naoma maelezo ya kisheria kama kuna mwanasheria.
Hivi yule jamaa wa CCM aliyekamatwa Ukonga akinakili majina ya wapiga kura na numba za vitambulisho vya kupigia kura alifanywa nini? Naomba maelezo ya Polisi na Tume ya uchaguzi.
TCRA inapaswa kuwa proactive na kuwazawadia wote watakao upload hiyo Adio clip.. Risk vs Opportunity. Huo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.