Recent content by Oscar M Lungu

  1. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Kanisa katoliki linakuzwa sana, Sioni wanachofanya zaidi ya kupiga kelele, Wenye nguvu wanafanya watakalo bila breki

    Katoliki au Taasisi nyingine zozote, hata zile za Umoja wa Mataifa au NGO's za haki za binadamu au humanitarian's organization au hata KKKT na Bagonza, wakiwa wanakemea haimaanishi wanataka kuzuia, ila wanatahadharisha juu ya madhara au faida kwenye Hilo jambo,yaani kutimiza wajibu. Sasa kutii...
  2. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Muujiza wa Tony Kapola: Je aliombea mtungi mkubwa au mdogo?

    Ina maana hata Kwa hili pia bado Tony anatetewa?? Guys tuwe serious basi aiseee
  3. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Usipokuwa Muangalifu, Mchungaji Wako Anaanza Kufanana na Mganga wa Kienyeji

    Kama kweli kuishi bila kuabudu Watanzania tumeshindwa basi nashauri watu tubakie na Uislamu na Ukristo ubakie na Roman Catholic, Lutheran na Anglican. Makanisa yenye majina ya watu au yanayomilikiwa na watu ni Siasa,Utapeli na Uhuni kama Uhuni mwingine tu. Ni wapiga ramli wasiokaa kilingeni.
  4. Oscar M Lungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi: Lisa

    Good
  5. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Naomba kujua kwa nini wanahitaji TIN number mwenye ile portal yao ya ajira. Ina maana kama sina na imewekwa redstar ina maana sitoweza ku apply?
  6. Oscar M Lungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simulizi: Lisa

    Nice
  7. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Familia imenijia juu kisa sijaomba ajira za ualimu serikalini ambazo kuna interview kuanzia Leo

    Maamuzi mazuri. Kwa idadi ya wasailiwa na ile wanaowahitaji ni bora kwa kuwa una kazi mkononi sikilizia kwanza upepo wake na hali ya mchakato utakavyokua, then next time unaweza kujaribu.
  8. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Wananchi ni kama wamegoma kujitokeza kujiandikisha Olasiti, Arusha, kwani shida ni nini?

    Huku kwetu imebidi wajumbe wa nyumba 10 na wenyeviti wa vitongoji wajaze boda Nafuta Kuwafuata watu majumbani.
  9. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania SoC02 Nimefanikiwa kuwa Daktari kwa msukumo wa mama ambae ni kichaa, alibakwa akanizaa mimi

    najaribu kutaka kukuamini lakini kuna kitu kinaniambia usidanganyike
  10. Oscar M Lungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tatizo la PC HP nikiiwasha inawaka taa ya kijani (power) halafu inazima

    nenda kwa fundi mwambie acheki Ac na power supply. ila tatizo hapo ni kuwa motherboard imepigwa shoti( electrical shock) na ni lazima ibadilishwe..andaa 120k au zaidi
  11. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    https://kinondonimc.go.tz/announcement/tangazo-la-kuitwa-kwenye-mafunzo-ya-sensa-kwa-makarani-wasimamizi-wa-maudhui-na-tehama-tarehe-27-julai-2022-wilaya-ya-kinondoni wa kinondoni wale wa kinondoni.
  12. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Habarini za Jioni kwa wale ambao wanasubiri PDF za Kazi ya Sensa kama haukufanya kazi ya Anuani za Makazi (Postikodi) na sio mkuu wa shule, afisa halmashauri au mratibu elimu kata basi usiweke matumaini sana. Ni bahati mno kupata kama haupo sehemu hizo tajwa. hata Hao walimu wanaodhaniwa kuwa...
  13. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

    Mtoa Mada kaandika kwa akili kubwa sana..lakini wewe ume reply kwa akili ya kawaida sana. Zanzibar ni kisiwa kile. soon after their isolation from Union government. its going to be the center of terrorism na hata piratism. Tanganyika is safe since Zanzibar is safe.
  14. Oscar M Lungu

    JamiiForums Tanzania Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

    aisee umewaza kama mimi...kuna wakati nilihisi JPM anamuandaa Mbuge kuwa CDF..maana alipanda vyeo kwa haraka sana..kutoka CO wa 832kJ mpaka ukuu wa JKT ndani ya miezi 13
Back
Top Bottom