Wapangaji,
Mtakumbuka nilileta uzi hapa kuhusu kumshtaki polisi mke wangu kwa kosa la kunitolea lugha za matusi na kunibugudhi kazini. Naona wengi wana kiu ya mrejesho:
Sasa nilitumia hela kuharakisha mambo ili nisiwe nachelewa kazini, I mean usafiri pekee ilikuwa ni Tsh 10,000 per day (boda...
Good afternoon brothers & sisters!
Natumaini mko poa. Hatimae nimekuwa na account yangu, now I can share stuff! Moja kwa moja kwenye swala:
Nimekuja Dar nikitokea Mwanza, ni baada ya kupata kazi kwenye makao makuu ya Benki moja hapa mjini. Baada ya kutumia fedha nyingi katika kutafuta ajira na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.