Oscar Amedeus
Member
- Sep 21, 2015
- 16
- 1
Wapangaji,
Mtakumbuka nilileta uzi hapa kuhusu kumshtaki polisi mke wangu kwa kosa la kunitolea lugha za matusi na kunibugudhi kazini. Naona wengi wana kiu ya mrejesho:
Sasa nilitumia hela kuharakisha mambo ili nisiwe nachelewa kazini, I mean usafiri pekee ilikuwa ni Tsh 10,000 per day (boda boda n.k.), then mkuu wa kituo, then afande mwingine kimbelembele...wengine wakawa wanagombea nichukue namba zao pia! Actually nilijihisi mfalme...ingawa misimbazi ilikuwa inanipukutika.
Jana nikaenda hiyo saa 7:50am ili asiporipoti hiyo saa 8:00am nichukue Tax na polisi kadhaa. Haikupita muda wakaingia wife na baba mkwe. Kutahamaki afande (mkuu wa kituo) akataharuki "alaa, kumbe mtu mwenyewe ananyonyesha...ana mtoto!, ah haya mambo ya kuongea tu bwana...hebu tuingieni hapa"
Kwakweli kidogo nizimie...nikawaza hizi njemba zimeshakula hela yangu halafu zinatanguliza huruma badala ya kufata vision niliyowapa. Kwa ufupi kukawa na mazungumzo ya kunyoosheana vidole, mwisho wa siku ikaamuliwa kuwa uamuzi wangu mm ni kuachana nae hivyo niandike talaka, kutakuwa na utaratibu wa kumhudumia mtoto. Nikasema talaka napeleka leo, tukatawanyika.
Nilipokuwa natoka nikachomoka na pikipiki, kumbe walikuwa wananisubiri nje (wife na baba mkwe), wakaanza kunifukuzia kwa kibodaboda chao...nikmwambia bodaboda "aisee ongeza mafu"...sasa cjui walikuwa wanataka kusema nn.
Mtakumbuka nilileta uzi hapa kuhusu kumshtaki polisi mke wangu kwa kosa la kunitolea lugha za matusi na kunibugudhi kazini. Naona wengi wana kiu ya mrejesho:
Sasa nilitumia hela kuharakisha mambo ili nisiwe nachelewa kazini, I mean usafiri pekee ilikuwa ni Tsh 10,000 per day (boda boda n.k.), then mkuu wa kituo, then afande mwingine kimbelembele...wengine wakawa wanagombea nichukue namba zao pia! Actually nilijihisi mfalme...ingawa misimbazi ilikuwa inanipukutika.
Jana nikaenda hiyo saa 7:50am ili asiporipoti hiyo saa 8:00am nichukue Tax na polisi kadhaa. Haikupita muda wakaingia wife na baba mkwe. Kutahamaki afande (mkuu wa kituo) akataharuki "alaa, kumbe mtu mwenyewe ananyonyesha...ana mtoto!, ah haya mambo ya kuongea tu bwana...hebu tuingieni hapa"
Kwakweli kidogo nizimie...nikawaza hizi njemba zimeshakula hela yangu halafu zinatanguliza huruma badala ya kufata vision niliyowapa. Kwa ufupi kukawa na mazungumzo ya kunyoosheana vidole, mwisho wa siku ikaamuliwa kuwa uamuzi wangu mm ni kuachana nae hivyo niandike talaka, kutakuwa na utaratibu wa kumhudumia mtoto. Nikasema talaka napeleka leo, tukatawanyika.
Nilipokuwa natoka nikachomoka na pikipiki, kumbe walikuwa wananisubiri nje (wife na baba mkwe), wakaanza kunifukuzia kwa kibodaboda chao...nikmwambia bodaboda "aisee ongeza mafu"...sasa cjui walikuwa wanataka kusema nn.