Recent content by oruguyo

  1. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Pascal Lutandula mhitimu darasa la saba aongoza Chato kusini,Takukuru wamuogopa,amwaga rushwa adharani,adai ametumwa na mkuu

    Acha uzushi, Mzee wawatu anakubalika na hanabaya na mtu, siokweli kuwa ameshinda kwa sababu ya rushwa, kashinda kwa njia halali kabisa, kumbuka hakuna mafanikio yasiyo na msingi, ndugu huyu kajiwekeza muda mrefu saana hivyo ushindi wake ni halisi na kweli.
  2. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Kwa kukamilisha yale ya mtangulizi wake, kisha kujumlisha na ya kwake anayotenda, kutomshukuru ni kujichumia tu dhambi za bure!

    Binafsi nilikuwamshabiki wa hoja zako ktk jukwaa hili kaka, Ila baads ya kuanza tabia za chawa nikaanza kukupuuza, Ila niovyo kwa Sasa umevuka renki ya kuwa chawa Sasa umefikia viwango vya kunguni, endelea Ila elewa kadri siku zinavyo songa ndiyo unavyopoteza hadhi yako na reputation uloijenga...
  3. oruguyo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mpina: Rais Samia jimboni Kisesa tunakudai, wanaosema 'hatukudai' fedha zao zihamishiwe Kisesa

    Unamakamasi kichwani haswaaaaaaaaaaaa.
  4. oruguyo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Prosper Tesha: Wachimbaji madini tumekubaliana kura zetu zote ni kwa Rais Samia

    Acha uongo Mimi nimchimbaji , mbona sijahusika kwenye kikao kilichofikia muafaka wa Makubaliano hayo, Jifunze kuwa mkweli angalau kidogo.
  5. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Mdude Nyagali kupatikana tena ni 5%. Poleni sana Watanzania

    Jiwe ndochanzo Cha yote yanayoendelea.
  6. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Samia sio malaika na Heche sio Shetani!

    Akiri ndogo Kama za mbweha, ngoja nchi ivurugike tuone huo uchawa wako utakupeleka wapi.
  7. oruguyo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Amani ya Taifa ni Kipaumbele – Tuikatae Siasa za Vuguvugu na Uchochezi

    U aishi nchi gani wewe
  8. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Nichangie kuhusu DP World / sio mkataba

  9. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Walisema DP World itashusha gharama na siku za mizigo kukaa Bandarini. Leo gharama za kuingiza mzigo zitapanda kwa 360%

    Sio kweli, DP WORD nitatizo pamoja na ujenzi wahoja ulionao, Mtia Mada kasema transport agent wamehamia Mombasa, kwakuwa wanaona ongezeko la gharama kwenye bandari ya Dar, hojayako inakosa Mashiko kwa kuzingatia hiyo sababu Moja ya nikwasababu gani wamehamia Bandari ya Mombasa?
  10. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya Upinzani?

    Hauelewi nn ndugu? Hao ndugu"watuhumiwa" wapo walio fukuzwa kwa taarifa wanazo zitoa, wengine wamepata changamoto za kiafya wakiwa kazini kwa Maelezo yao. Wakapoteza sifa za kuendelea kulitumikia jeshi.Hivyo wanaruhusiwa kwa Mujibu wa Sheria za nchi kujitaftia kipato Chao kwa njia halali Kama...
  11. oruguyo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyans who are searching/ producing animal and Bird Food.

    I Hope your all right, I am in Tanzania just engaging in the Maize and Sunflower, I here by wish to inform any entrepreneur who needs to buy The remaining product From Maize (Pumba za Mahindi)in Kiswahili and (Mashudu ya alizeti) to call for us through the following number +2550765780707 or...
  12. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji wa soko la pumba za mahindi

    0713148453
  13. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji wa soko la pumba za mahindi

    pumba za mahindi kwa mwenye uhitaji,Katoro Geita 0713148453.
  14. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji wa soko la pumba za mahindi

    Katoro Geita
  15. oruguyo

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji wa soko la pumba za mahindi

    Katoro Geita
Back
Top Bottom