Recent content by Ork

  1. Ork

    Elias Ngorisa Ajitangazia ushindi Jimbo la Ngorongoro

    Pole sana ndugu yangu!!mbona unaandika kwa mrengo wa Kikabila?punguza jazba na wale waliokutuma waambie wakuandikie wao halafu wewe utume. Wewe ni mbinafsi sana.....unapenda maneno ya sisi, uku Sonjo.....Kuna nini huko?hebu tueleze. Usije ukawa wewe ndio mwanzilishi wa migogoro ya ardhi huko.
  2. Ork

    Jamani kwa yeyote anayejua 'siku ya kushika mimba hapa ni ipi'??

    Naombeni msaada! Mke wangu alipata period (bleeding) tarehe 16 na tarehe 28 ya mwezi huo huo tukafanya tendo la ndoa je hapa kuna uwezekano wa kubeba ujauzito?
  3. Ork

    Ugawaji wa vitalu: Wazawa wanavyotumika kupotosha ukweli kwa maslahi ya wachache

    Natafuta juu ya idadi ya Vitalu, mmiliki, wapi ilipo na probably registration number ya kampuni
  4. Ork

    Natafuta soko la Asali hapa Dar es Salaam

    Wandugu, mimi ni mjasiriamali, ninatafuta soko la asali kwa hapa Dar es salamaa au kama kuna sehemu nyingine mawazo yenu pia yanakaribishwa. Nina asali lita 200 ambayo ni asali mbichi. Kama unahitaji au una mtu anayehitaji naomba uni PM Asanteni
  5. Ork

    Ugawaji wa vitalu: Wazawa wanavyotumika kupotosha ukweli kwa maslahi ya wachache

    Wandugu Natafuta document juu ya Vitalu vya Uwindaji. Taarifa hiyo iliwahi kuwekwa hapa jukwaani lakini nimejaribu kutafuta sijafanikiwa. Mwenye nacho tafadhali tupia humu nami nifaidike. Asanteni
  6. Ork

    Mgogoro wa Loliondo: Kagasheki aponda kauli ya Nchemba

    Fuatilia magazeti kama hujabahatika kuangalia TV leo juu ya wananchi wa Loliondo
  7. Ork

    Nilichosikia mwandishi wa BBC Eric David Nampesya akisema kuhusu Loliondo kimenishtua

    Kwa taarifa zaidi ili usimnukuu mwandishi ukashindwa kupata taarifa sahii soma ripoti hii hapa utaona jinsi huyo mwarabu alivyojichukulia Loliondo na kuita Falme za Kiarabu (Ukifika Loliondo unaambiwa karibu katika Falme za Kiarabu-Welcome to the Arab Emirates...na mtandao ni Atisalat...)...
  8. Ork

    Press Release: Ukweli Kuhusu Loliondo

    Sheria anayotumia Wazari ni mpya halafu itakuwaaje inenda RETROSPECTIVE?vijiji vote vilivyopo pale Loliondo vimesajiliwa kwa mujibu wa sheria za nchi na hata ofisi ya Halamashauri ya Wilaya na ya DC ipo ndani ya GCA for those years?
  9. Ork

    Mbunge na Madiwani kujiuzulu Ngorongoro

    Manyerere anaelewa kila kitu na anajua hakuna NGOs kutoka Kenya ila ameamua kuwa biased na kuutetea uwaarabu na kuwaacha watanzania walio wengi. Kuna wakati alipelekwa kaandike taarifa na baadaye alipo andika akaitwa na OBC and it was from there he befriended OBC na kuamua kuandika alimradi...
  10. Ork

    Mbunge na Madiwani kujiuzulu Ngorongoro

    Kama maslahi mapana ya Watanzania ni kusimama na OBC na kupokea pesa zao ili uandike taarifa zisizo sahahi ipo siku utajibu mbele za mwenyezi mungu jinsi ulivyotumia vibaya kalamu yako kama mwandishi wa habari na akili yako finyu ya uhifadhi. Walio anzisha NCA hawakuona hilo?Ni NGO ipi ya Kenya...
  11. Ork

    Loliondo to be split into two

    Kuachia Ngazi ni njia mojawapo maana Katibu Mkuu wa CCM taifa Mr. A. Kinana ni mwakilishi wa OBC Tanzania na yupo nyuma ya pazia
  12. Ork

    Mbunge na Madiwani kujiuzulu Ngorongoro

    Niwalo na liwe ila wengine wanao tuvuruga yupo Jackton Manyerere ambaye amekuwa muumini na anayetumiwa sana na OBC kuhakikisha kuwa anavuruga amani Loliondo....rejea article yake juu Ng'ombe wanaovaa kengele eti watumiwa kuwafukuza wanyama Loliondo.
  13. Ork

    Mtu mzima anapaswa kunywa maji kiasi gani kwa siku?

    JF Doctors! Naomba kujua kiasi cha maji kinachotakiwa mwilini kwa mtu mzima kwa siku. Nauliza hivyo kwa sababu leo nimekunywa maji lita Tatu na nusu (from 8am hadi 8pm). Naombeni majibu yenu
  14. Ork

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Teh teh jamani Matola angalia naona Rejao anakutafutia BAN,mwache Rejao afurahia kivulini akifikiri mti bado unastawi kumbe mizizi yote imeoza
Back
Top Bottom