Baby girl!!!!!
nikuwa nahitaji mtoto wa kiume kila nikifanya mapenzi na mke wangu, tupate mtoto wa kiume tunapata mtoto wa kike ni sababu ipi inayo fanya hv
Usifanye mapenzi uanzia siku ya 10 na ifikapo siku ya 14 baada ya hedhi fanya na ujiweke tayari kwa hilo kwani mbegu ya mtoto wakiume ionaishi muda mfupi ila oinambio kufikia mbnegu ya kike wakati mbegu ya kike inaishi siku nyingi na haina haraka kufikia uyai la kike
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Haya kaka kila la kheri. Na usisahau ku2pa feedback juu ya hlo.
Habari jion jaman? Matumaini yangu ni wazima!
Naomba mnisaidie Kujua ile siku/tar ya kushika mimba kwa mke wangu!
kwa kabisa ana mzunguko wa siku 28
bleed inaanza tar 14-tar 18 humalizia yaani kwa siku 4
sasa naomba mnisaidie kui-pin poit ile siku ya mama kupata mimba!!!
kwasababu nimekuwa nikifuatilia nakuta kila mtu na maelezo yake wengine wanasema humohumo akiwa anableed n.k
hii ni kweli ?
wadau wanajua haya mambo naomba mnisaidie!
Nawasilisha!!
tumia mda mwingi kua na waifu izo cku za kushika mimba
mpya kuliko zotemmmmmmmh hii mpya kwangu
tumia mda mwingi kua na waifu izo cku za kushika mimba