Ni kweli kuna element za kuonewa hata mm namuunga kidole mleta mada, ya kuhusu loliondo siyo ya leo na ushahidi si wakutafuta zipo tu labda mzee wa ruksa afe, niliwahi kutembelea hifadhi ya ngorongoro nilishikwa na mchangao kwa jinsi wanavyo watreat wenyeji, wanakufa njaa, ajira za ukanda wa ziwa na uchagani tu, pamoja na wenyeji kwa sasa kuwa na wasomi wa kila sekta hasa uhifadhi, na mambo mengi isiyopendezesha. Wamasai wa sasa sio wale wa zamani wameambukizwa upole na wadanganyika. Japo I hope kuna siku watapoteza tolerance na kuanza kupandisha mori.