Habari ndugu zangu wanajamii, Mimi nina shida ya kuona vizuri tangu mwaka 2018, Nimeenda hospitali kama muhimili na Dr Agarwal nilipewa dawa ya vitamini wakidai ni shida ya neva za kuona. Leo hii nilkua darasani nikawa imeingia chumba chenye AC na feni macho yameanza kuniwasha sana baadae...
Mimi nashindwa kununua kiwanja online kupitia Tausi sioni option ya kupata namba ya malipo pia sioni vipimo vya kiwanja husika. Naomba maelekezo please.
Jamani ndugu zangu nina shida na simu ya button toleo za nyuma kama Nokia vile vidogo.
Tafadhali mwenye nayo hela yake iko mfuko wa shati!
Naomba kuwasilisha
ushauri tafadhari, na mimi kuna kiwanja nataka nianze kulipa kiko bagamoyo, malipo kwa installments, na wanadai hatimiliki wanantafutia,.ushaur tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.