Recent content by Ordger

  1. Ordger

    Rai: Chama cha Walimu(CWT) kimkatie Rufaa Mwalimu aliyehukumiwa kunyongwa

    Hv m2 akihukumiwa kunyongwa, wale wanao nyong wale wahusika ni waajiliwa na selikal kwa kazi ya kunyonga au huwa wanakodiwa?
  2. Ordger

    Kutengeneza noti nyingine mpya na kuzifuta za zamani kutapandisha uchumi?

    ASA kwan ni wajinga hawa mpaka abebe sijui billion 3 kwa pamoja?? kwakua mchakato was kuzibadili utakua na mda maalum na wao watatumia mda huo kbadili pesa zao kidogo mpaka watakapo maliza, kwani akienda Leo na million kazaa akabadili akaa Siku kazaa akaenda kubadili mtamjua?? na sizan kama kuna...
  3. Ordger

    Kutengeneza noti nyingine mpya na kuzifuta za zamani kutapandisha uchumi?

    kwani mkuu hizo zitakazo chapishwa watashindwa kuzificha?? au watatengeneza zitakua na Chip maalum ya kuweza kutrack hizo not?? mi nahisi hizo ghalama si za lazima hizo hela za kuchapishia wangenunua madawa au wangefanyia maendeleo mengine maana hapo in sawa na kutwanga maji kwenye kinu...
  4. Ordger

    Kutengeneza noti nyingine mpya na kuzifuta za zamani kutapandisha uchumi?

    unajua vitu vingine ni ile kukosa utashi was kupambanua mambo, ASA kama issue ni kubadili noti kwa kisingizio cha watu kuficha pesa ndan, kwan hawa watu waloficha pesa ndan n wajinga au?? si watabadixha tena na kuzificha?? kwanza sizani kama kuna mtu anaweza kuficha hizi pesa za kibongo, mala...
  5. Ordger

    Mnaotarajia kuandamana someni hii...

    Umenikeraa xana kutudanganya na kuoa au kuolewa, kwahyo huo nao ni uhulu???
  6. Ordger

    HESLB yapiga Ramli

    hongela but so wengine ngoja tuandae mashamba tulime
  7. Ordger

    HESLB yapiga Ramli

    ndiyo mkuu
  8. Ordger

    UDOM siwaelewi

    Washanikosesha tayali nahisi maana nikiwapigia simu wananijibu mkato, eti niende huko ninakotaka, asa so utani huu??
  9. Ordger

    HESLB yapiga Ramli

    jaman nataka kukata rufaa, msaada nifanyeje?? maana nataka kwenda chuo mwaka huu
  10. Ordger

    Bodi ya Mikopo yatenga bilioni 34.6 kwa wanafunzi 10,196 waliofanyiwa uchambuzi awamu ya kwanza 2017/2018

    halafu wanadai walitoa majina ya walio kosea ili walekebishe, hayo majina yalitolewa lini maana Mimi ni mmoja was walio kosea maana sikuambatanisha result slip ya form six, na sikupewa taarifa ya malekebisho
  11. Ordger

    UDOM siwaelewi

    sawa mkuu
  12. Ordger

    UDOM siwaelewi

    asa mbona maswala ya ajabu haya?? wanataka tukose vyuo au VP??
  13. Ordger

    UDOM siwaelewi

    TCU wamesema hawatamtambua MTU aliye na chuo zaidi ya kimoja
Back
Top Bottom