Ndio bas tena ishakula kwetuhalafu wanadai walitoa majina ya walio kosea ili walekebishe, hayo majina yalitolewa lini maana Mimi ni mmoja was walio kosea maana sikuambatanisha result slip ya form six, na sikupewa taarifa ya malekebisho
Kichwa chako umemuachia fundi nini ?Mimi napendekeza mikopo hii ifutwe kabisa,wahudumiwe wananchi kwanza.
Ficha ujinga wako!Mimi napendekeza mikopo hii ifutwe kabisa,wahudumiwe wananchi kwanza.
Hahahahhahaaaa haya maneno we acha tu imenibidi nifurahi kwa huzuniNikikumbuka kwenye kampeni
Alisema
"Jina lenyewe mkopo afu unamsumbua mwanafunzi sio kwa serikali yangu"
Mm sikuambatanisha result slip na nimepatahalafu wanadai walitoa majina ya walio kosea ili walekebishe, hayo majina yalitolewa lini maana Mimi ni mmoja was walio kosea maana sikuambatanisha result slip ya form six, na sikupewa taarifa ya malekebisho
uliambatanisha matokeo ya form six lakini??Mm sikuambatanisha result slip na nimepata
Kichwa chako umemuachia fundi nini ?
Ficha ujinga wako!
Wanafunz wa elimu ya juu sio wananchi?
Pole xn mkuu me nimebahatika kupewa kupitia hiyo hiyo diploma.!!!!Dah nimekosa mkopo kubabake awa jamaa kama walikua wanajua hawatupi mkopo watu wa diploma ni bora wangetuambia tu kuliko kupoteza fedha na muda yan roho inaniuma kweli